no1 AfrikaAisee Wanaija wapo level nyinginea cha sisi tuendelee kupigana vijembe na kutafuta sijui nani ni mfalme, nani ticha, nani namba wani na kujiita majina ya wanyama wa mwituni 🐒
View attachment 2026977
Huyu jamaa nae si kashikwa MKONO na Sadala, still bado anakimbiza na huyu mwamba soko la Ulaya na US kalishika sana mwaka huu, kuifikia records ya nyimbo ya Essence swala dogo.Wizkidayo a.k.a Star Boy...Ameendelea pale alipoishia usiku wa kuamkia leo amejaza O2 Arena pale U.K na kufanya bonge la show,
Na sikujaza tu baadae alimpandasha mtu mzima Chris Brown.
Msimu huu umekuwa wa wamafanikio zaidi kwake Star Boy maana Album yake ya Made In Lagos ikifanya vizuri Worldwide ikiwa na streaming zaidi ya bilion 1.
Essence ngoma ambayo imeuza mauzo ya Platinum kwa haraka ndani ya Marekani si jambo jepesi.
Star Boy sio wa Afrika tena ni Worldwide🙌🙌
#Forgive me.
Nmecheka saaana hii ya wanyam wa mwituni, kuna tembo chui sjui kenge mara mamba mwngne kifaru asee inaskitisha sanaaa😔😔😔Aisee Wanaija wapo level nyingine acha sisi tuendelee kupigana vijembe na kutafuta sijui nani ni mfalme, nani ticha, nani namba wani na kujiita majina ya wanyama wa mwituni 🐒
View attachment 2026977
Jamaa anatisha sanaHuyu jamaa nae si kashikwa MKONO na Sadala, still bado anakimbiza na huyu mwamba seke la Ulaya na US kalishika sana mwaka huu, kuifikia records ya nyimbo ya Essence swala dogo.
NB:Ogopa sana mawazo ya kijinga yanayo ongozwa na chuki.
Ona Jamaa walivyojiachia kwenye Billboard chartLove nwantiti.
Rayvany akiacha uswahili Atafika mbali Sana .
HahàahahaKonde gang world wide. Konde gang fo everibadeee
😂😂😂😂😂😂Konde gang world wide. Konde gang fo everibadeee