Muwe makini hao Airtel ndio wanafadhili huu mtandao msiwaseme vibaya!
Hawa airtell wamekuwa wakitangaza kuwa ukinunua moderm zao za tsh 30000.unapata ofa ya kutumia internet kwa miezi 6 huo niungo mkubwa na utapeli kwa watanzania wameshawaona Watanzania makondoo wanapeleka mambo kiwizi wizi tu ukweli ni kwamba wanakupa kifurushi tu cha 200mb kila mwezi wakati tangazo lao linasema utapata kutumia kwa miezi sita.Hivi wakuu hakuna namna ya kuwachukulia hatua wezi wa namna hii mwenye kujua taratibu au sheria za kibiashara atujuze tuone uwezekano wa kuwatia hatiani wezi hawa nawasilisha wakuu mwenye kutaka kuangalia tangazo lao lilivyo atizame hapo kwenye ubao wa matangazo ndani ya jukwaa hili la JF.
Hawa airtell wamekuwa wakitangaza kuwa ukinunua moderm zao za tsh 30000.unapata ofa ya kutumia internet kwa miezi 6 huo niungo mkubwa na utapeli kwa watanzania wameshawaona Watanzania makondoo wanapeleka mambo kiwizi wizi tu ukweli ni kwamba wanakupa kifurushi tu cha 200mb kila mwezi wakati tangazo lao linasema utapata kutumia kwa miezi sita.Hivi wakuu hakuna namna ya kuwachukulia hatua wezi wa namna hii mwenye kujua taratibu au sheria za kibiashara atujuze tuone uwezekano wa kuwatia hatiani wezi hawa nawasilisha wakuu mwenye kutaka kuangalia tangazo lao lilivyo atizame hapo kwenye ubao wa matangazo ndani ya jukwaa hili la JF.
Hawa airtell wamekuwa wakitangaza kuwa ukinunua moderm zao za tsh 30000.unapata ofa ya kutumia internet kwa miezi 6 huo niungo mkubwa na utapeli kwa watanzania wameshawaona Watanzania makondoo wanapeleka mambo kiwizi wizi tu ukweli ni kwamba wanakupa kifurushi tu cha 200mb kila mwezi wakati tangazo lao linasema utapata kutumia kwa miezi sita.Hivi wakuu hakuna namna ya kuwachukulia hatua wezi wa namna hii mwenye kujua taratibu au sheria za kibiashara atujuze tuone uwezekano wa kuwatia hatiani wezi hawa nawasilisha wakuu mwenye kutaka kuangalia tangazo lao lilivyo atizame hapo kwenye ubao wa matangazo ndani ya jukwaa hili la JF.
We kiazi kweli kuna kitu wanaita terms&conditions apply(vigezo na masharti kuzingatiwa) hicho ndo kinga yao so kawadanganye viazi wenzio huko mashambani na si hapa !!!Mi nimehamia zantel unlimited downloads kwa 5000/= kwa wiki hapa nakaribia kumaliza muvi ya nne comptr sijaizima wiki ya pili sasa ni full kudownload!!:flypig:
Mkuu naona shule ya nguvu imekupitia kwa mbali.We kiazi kweli kuna kitu wanaita terms&conditions apply(vigezo na masharti kuzingatiwa) hicho ndo kinga yao so kawadanganye viazi wenzio huko mashambani na si hapa !!!Mi nimehamia zantel unlimited downloads kwa 5000/= kwa wiki hapa nakaribia kumaliza muvi ya nne comptr sijaizima wiki ya pili sasa ni full kudownload!!:flypig:
Naomba nikufahamishe kitu ndugu yangu, wanapokuambia kifurushi cha mwezi maana yake ni kwamba "expire date" yake ni baada ya siku 30. Kwa hivyo kama matumizi yako siyo makubwa unaweza kukitumia ndani ya muda huo, na kama ni makubwa unaweza kukimaliza hata ndani ya dakika 10.Jaribu kununua hata kile kifurushi cha 2,500 400mb wanachosema kinadumu kwa mwezi, ni uongo, mi haijawahi kudumu hata wiki, just kusoma email na kujibu na hapo no download, hawa jamaa sio wakweli