Wizi wa vijana wa IT Tigo Pesa

ShockStopper

Senior Member
Apr 10, 2009
124
56

Kuna habari ya kushtua nimeipata karibuni.
Inadaiwa kwamba vijana wa kitengo cha IT kinachosimamia Tigopesa wamekuwa wakiwaibia wateja wanaotumia huduma hiyo kwa kupunguza salio kidogo kidogo toka akaunti za wateja wasioweza kustukia huo mchezo mchafu.

Katika tukio moja, inadaiwa mzee mmoja aligundua hela kiasi cha sh 30,000/= haionekani kwenye account, na baada ya kazi ngumu sana ya kufuatilia, inadaiwa kijana mmoja wa kitengo hicho alikiri kwamba alijikuta hana hela ya kutumia weekend ndipo akaamua kuchota salio la mzee huyo.

Habari zaidi zinadai kuwa ma boss wa kampuni hiyo hawazingatii kigezo cha UAMINIFU katika kutoa ajira, kitu ambacho muhimu sana kwa taasisi za fedha.

Kibaya zaidi, inadaiwa kuwa mteja anapotoa malalamiko ma boss hawachukui hatua za kutosha zaidi za kumwambia 'kachukue RB'.\

Binafsi, mimi ni mtuamiaji mkubwa wa huduma hii na baada kupata taarifa hizi nilikimbilia haraka ku check statement. Lakini niligundua kuwa hiyo taarifa yao fupi ina entries chache mno na haijulikani mteja anawezaje kupata statement kamili ya kipindi anachotaka.

Natoa wito wana JF tulifanyie kazi hili ili kama kuna ukweli tujue hatua za kuchukua. Na iwapo hakuna ukweli, mamlaka zinazohusika zitutoe hofu.
 

Kuna habari ya kushtua nimeipata karibuni.
Inadaiwa kwamba vijana wa kitengo cha IT kinachosimamia Tigopesa wamekuwa wakiwaibia wateja wanaotumia huduma hiyo kwa kupunguza salio kidogo kidogo toka akaunti za wateja wasioweza kustukia huo mchezo mchafu.

Katika tukio moja, inadaiwa mzee mmoja aligundua hela kiasi cha sh 30,000/= haionekani kwenye account, na baada ya kazi ngumu sana ya kufuatilia, inadaiwa kijana mmoja wa kitengo hicho alikiri kwamba alijikuta hana hela ya kutumia weekend ndipo akaamua kuchota salio la mzee huyo.

Habari zaidi zinadai kuwa ma boss wa kampuni hiyo hawazingatii kigezo cha UAMINIFU katika kutoa ajira, kitu ambacho muhimu sana kwa taasisi za fedha.

Kibaya zaidi, inadaiwa kuwa mteja anapotoa malalamiko ma boss hawachukui hatua za kutosha zaidi za kumwambia 'kachukue RB'.\

Binafsi, mimi ni mtuamiaji mkubwa wa huduma hii na baada kupata taarifa hizi nilikimbilia haraka ku check statement. Lakini niligundua kuwa hiyo taarifa yao fupi ina entries chache mno na haijulikani mteja anawezaje kupata statement kamili ya kipindi anachotaka.

Natoa wito wana JF tulifanyie kazi hili ili kama kuna ukweli tujue hatua za kuchukua. Na iwapo hakuna ukweli, mamlaka zinazohusika zitutoe hofu.

Labda kama wewe ni 'mtoto wa mkulima' umeshajua kuwa wanachota vijisenti vyako, na pia sio mtandao pekee wa huduma hiyo, sasa nini unasubiri, waachie manyoya nenda kwenye huduma ambazo bado hazijadhalilishwa.
Mamlaka unazotaka zisimamie ni zipi zaidi ya policcm ambao ukienda una madai yako wameruhusiwa kupiga tu ... mambo ya uchunguzi na kutafuta ukweli siyo kazi yao tena ... usipoteze muda mtanzania au unataka kuendelea kuwa mdanganyika ... acha manyoya wahi mipesa, wayatel money au zinatelpesa ufurahie maisha lakini ukae chonjo maana vijana ndo walewale, wakiondolewa huku wapelekwa kule na maisha yaendelea ...
 
Nchi hii wizi umekidhiri jamani kila kona
mpaka unajiuliza wapi ni salama? Ila yote
haya Viongozi wetu wa Serikali wanayalea
maana nao kuona Nchi si salama.

Pesa wanaweka Visiwani Jersey,Uswis huko
kazi inakuwa kwa sisi Makabwela yaani duu
Nadhani usalama uko sehemu hizi tu

1. Kuchimbia kwenye Migomba
2.Kisanduku Bubu
3.Pindo la Godoro/Suruali/Sketi(Kivumbi ukiwa na pesa Nyingi sasa)
 
weweeeee ngoja na mie nije bongo kuomba ajira humo nikwarue vijisentiiii :madgrin:
 
Labda kama wewe ni 'mtoto wa mkulima' umeshajua kuwa wanachota vijisenti vyako, na pia sio mtandao pekee wa huduma hiyo, sasa nini unasubiri, waachie manyoya nenda kwenye huduma ambazo bado hazijadhalilishwa.
Mamlaka unazotaka zisimamie ni zipi zaidi ya policcm ambao ukienda una madai yako wameruhusiwa kupiga tu ... mambo ya uchunguzi na kutafuta ukweli siyo kazi yao tena ... usipoteze muda mtanzania au unataka kuendelea kuwa mdanganyika ... acha manyoya wahi mipesa, wayatel money au zinatelpesa ufurahie maisha lakini ukae chonjo maana vijana ndo walewale, wakiondolewa huku wapelekwa kule na maisha yaendelea ...

Asante kwa kujua mimi ni mtoto wa mkulima, lakini kuhama peke yake mimi nadhani haisaidii.

Si unaona wewe mwenyewe umegundua kuwa vijana ndo walewale wanahama huku na kule, na haya mambo husambaa kama -----, kama yapo si ajabu na huko unakokufagilia yakafika kesho tu.

Nionavyo mimi ni bora kuyajadili hapa hadharani ili kuwafumbua macho wananchi wasije wakaumizwa kimyakimya. Pili, kuwaamsha wamiliki wa hiyo mitandao kama kweli wana nia ya dhati ya kutoa huduma iliyo bora, basi wawaalike wenye malalamiko wajitokeze, uchunguzi ufanyike na kisha matokeo yawekwe hadharani, hali kadhalika njia za kuziba mianya zibainishwe.

Lengo sio kubomoa, bali kujenga!
 
Hiyo kali,sasa hivi wameamu ajikopesha hela za wateja ili wakale bata weekend?Hawa vijana wameamua endekeza njaa na kujijjengea umasikini..

kazi nyingi bongo zinatolewa pasipo weledi, ni faida kubwa za haya makampuni ndizo zinaficha hasara zifanywazo na hawa vijana.
 

Kuna habari ya kushtua nimeipata karibuni.
Inadaiwa kwamba vijana wa kitengo cha IT kinachosimamia Tigopesa wamekuwa wakiwaibia wateja wanaotumia huduma hiyo kwa kupunguza salio kidogo kidogo toka akaunti za wateja wasioweza kustukia huo mchezo mchafu.

Katika tukio moja, inadaiwa mzee mmoja aligundua hela kiasi cha sh 30,000/= haionekani kwenye account, na baada ya kazi ngumu sana ya kufuatilia, inadaiwa kijana mmoja wa kitengo hicho alikiri kwamba alijikuta hana hela ya kutumia weekend ndipo akaamua kuchota salio la mzee huyo.

Habari zaidi zinadai kuwa ma boss wa kampuni hiyo hawazingatii kigezo cha UAMINIFU katika kutoa ajira, kitu ambacho muhimu sana kwa taasisi za fedha.

Kibaya zaidi, inadaiwa kuwa mteja anapotoa malalamiko ma boss hawachukui hatua za kutosha zaidi za kumwambia 'kachukue RB'.\

Binafsi, mimi ni mtuamiaji mkubwa wa huduma hii na baada kupata taarifa hizi nilikimbilia haraka ku check statement. Lakini niligundua kuwa hiyo taarifa yao fupi ina entries chache mno na haijulikani mteja anawezaje kupata statement kamili ya kipindi anachotaka.

Natoa wito wana JF tulifanyie kazi hili ili kama kuna ukweli tujue hatua za kuchukua. Na iwapo hakuna ukweli, mamlaka zinazohusika zitutoe hofu.

Ngoja nicheck salio langu..........
 
daah mpaka hapa kama atakuwa hajakuelewa basi tena, nimependa vile ulivyotumia kama kama mipesa, wayatel na zinatelipesa.....ha ha ha. fumbo mfumbie.....
Labda kama wewe ni 'mtoto wa mkulima' umeshajua kuwa wanachota vijisenti vyako, na pia sio mtandao pekee wa huduma hiyo, sasa nini unasubiri, waachie manyoya nenda kwenye huduma ambazo bado hazijadhalilishwa.
Mamlaka unazotaka zisimamie ni zipi zaidi ya policcm ambao ukienda una madai yako wameruhusiwa kupiga tu ... mambo ya uchunguzi na kutafuta ukweli siyo kazi yao tena ... usipoteze muda mtanzania au unataka kuendelea kuwa mdanganyika ... acha manyoya wahi mipesa, wayatel money au zinatelpesa ufurahie maisha lakini ukae chonjo maana vijana ndo walewale, wakiondolewa huku wapelekwa kule na maisha yaendelea ...
 
Back
Top Bottom