Habari za uhakika kutoka tbc1 live zinasema mama mmoja aliyejitambulisha kwa jina la mwajuma shaaban kiura mkazi wa igunga amekuta jina lake limeorodheshwa katika majina ya watu waliokufa na balozi wake wa chama cha magamba baada ya kukataa kumpa balozi huyo namba ya shahada yake ya kura ili aichakachue...je kuna uchaguzi huru hapo??