Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,961
- 720
Shirika la Posta Tanzania pamoja EMS kwa kweli mnachefua kwa jinsi mnavyofanya kazi zenu. Wizi umekubuhu katika mashirika haya. Cha kushangaza Posta pamoja na EMS mmeshindwa kabisa kufanya kazi zenu kwa uaminifu. Hainiingii kichwani mnadirikia hata kuiba Birthday Card. Kama ni suala la usalama, angalieni kilichomo kisha mrudishe na kuhakikisha barua au kadi inafika kwa MLENGWA.
Hivi karibuni nilimtumia Mzazi wangu documents za kwenda nazo Embassy kwa ajili ya kuchukuwa Viza aweze kupata matibabu zaidi, cha kushanganza Tracking number inaonyesha EMS mmepokea tangu tarehe 21/04/08 na leo is almost a month hizo dox bado hamja-deliver pamoja na kwamba niliweka namba ya simu to call before Delivery.
That's the same way I've using to send dox and other things kwa kutumia makampuni mengine, sasa inakuwaje nyie mnashindwa kufanya hivyo??
Ukitumia SLP mkiona barua imenonanona mnafungua kuangalia kama kuna cash, mpate msipate still mnaitupa. Nani katika dunia ya leo atatuma cash kwa P.O. BOX wakati kuna Western Union, Moneygram, PayPal n.k?
Jaribuni kwenda na wakati, hapa ninakuwa na wasiwasi maana sijui huyo aliyechukuwa hizo dox atatumiaje IDs zangu. Kulikuwa na vitu muhimu ambavyo vinahusu my Privacy like Soc. Sec #, Cert. ya uraia, Driv. Lic, Pay stb na vinginevyo. Mtashindwa kufanya biashara kwa kukosa clients kutokana na njaa. Mzazi wangu anazidi kuumia kwa sababu ya negligency na upuuzi wenu.
Nendeni na wakati katika biashara na kama hamuwezi basi fungeni hilo/hayo mashirika.
Hivi karibuni nilimtumia Mzazi wangu documents za kwenda nazo Embassy kwa ajili ya kuchukuwa Viza aweze kupata matibabu zaidi, cha kushanganza Tracking number inaonyesha EMS mmepokea tangu tarehe 21/04/08 na leo is almost a month hizo dox bado hamja-deliver pamoja na kwamba niliweka namba ya simu to call before Delivery.
That's the same way I've using to send dox and other things kwa kutumia makampuni mengine, sasa inakuwaje nyie mnashindwa kufanya hivyo??
Ukitumia SLP mkiona barua imenonanona mnafungua kuangalia kama kuna cash, mpate msipate still mnaitupa. Nani katika dunia ya leo atatuma cash kwa P.O. BOX wakati kuna Western Union, Moneygram, PayPal n.k?
Jaribuni kwenda na wakati, hapa ninakuwa na wasiwasi maana sijui huyo aliyechukuwa hizo dox atatumiaje IDs zangu. Kulikuwa na vitu muhimu ambavyo vinahusu my Privacy like Soc. Sec #, Cert. ya uraia, Driv. Lic, Pay stb na vinginevyo. Mtashindwa kufanya biashara kwa kukosa clients kutokana na njaa. Mzazi wangu anazidi kuumia kwa sababu ya negligency na upuuzi wenu.
Nendeni na wakati katika biashara na kama hamuwezi basi fungeni hilo/hayo mashirika.