Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,430
- 3,250
Kwa niaba ya watumiaji wa huduma za mawasiliano nchini napenda kuwaomba wamiliki/management ya makampuni ya simu/mawasiliano kuondoa ukomo wa muda katika huduma zao (sms,calls na internet bando).
Kutumia kigezo cha muda ni kuingilia uhuru wa mtumiaji huduma kwa kumlazima atumie kwa muda mliompatia ilihali kifurushi alichonunua amekilipia kodi, lakini pia ni utashi wake kutumia kwa budget aliyoweka.
Huduma za mawasiliano ni sawasawa na huduma nyingine,hivyo malipo yawe kadri unavyotumia.
Tunaiomba TCRA na vyombo vingine vinavyotetea walaji wa huduma za mawasiliano waangalie namna gani watumiaji wa huduma wanafaidika na malipo wanayotoa kwani sio haki kupangiwa muda kutumia muda wa maongezi, jumbe za sauti na vifurushi vya internet.
Kutumia kigezo cha muda ni kuingilia uhuru wa mtumiaji huduma kwa kumlazima atumie kwa muda mliompatia ilihali kifurushi alichonunua amekilipia kodi, lakini pia ni utashi wake kutumia kwa budget aliyoweka.
Huduma za mawasiliano ni sawasawa na huduma nyingine,hivyo malipo yawe kadri unavyotumia.
Tunaiomba TCRA na vyombo vingine vinavyotetea walaji wa huduma za mawasiliano waangalie namna gani watumiaji wa huduma wanafaidika na malipo wanayotoa kwani sio haki kupangiwa muda kutumia muda wa maongezi, jumbe za sauti na vifurushi vya internet.