Huwa mnapojitokeza kama hivi natamani nimwage tusi. Misbehaving Nmb imekuwa too much. Kesi za mawasiliano Kati ya watumishi na majambazi. Pindi mteja anapotoa pesa nyingi simeripotiwa Sana. Mchangiaji alietoa maoni wafanyakaz wa benk kutoaminiwa tena ni kitu cha msingi Sana.Ndugu wana jamii forums,
Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya kuhusu usalama wa fedha za wateja, NMB inafanyia uchunguzi maoni na malalamiko yenu na tunawahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki pale uchunguzi utakapokamilika. Hata hivyo, ili kusaidia uchunguzi, tumewasiliana na mlalamikaji ili kutusaidia na uchunguzi kwa kutoa taarifa zaidi kuhusu mteja. Ili kulinda taarifa za mteja, tunaomba radhi hatuwezi kuweka taarifa hizo hapa.
Ndugu wanajukwaa, NMB iko makini kusimamia maadili mojawapo ikiwa nikuhakikisha fedha za mteja ni salama muda wote.
NMB pia inapenda kuwahakikishia wateja na jamii kwa ujumla kwamba itaendelea kusimamia sera zote za benki.
Kama kutatokea umepata huduma isiyoridhisha au ufanyajikazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:
1.Kupitia tovuti: http://www.nmbtz.com
2.Kupitia e-mail maalumu: whistleblower@nmbtz.com
3.Kwa posta – Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:
Afisa Mtendaji Mkuu (Bahasha iandikwe “Siri”)
Makao Makuu ya NMB,
P. O. Box 9213,
Azikiwe/Jamhuri Street,
Dar es Salaam, Tanzania.
4.Au kwa kupiga simu zifuatazo:
0658 751 000 Tigo
0779 751 000 Zantel
0685 751 000 Airtel
0800 751 000 Vodacom
Mbona una hasira hivyo isikute una kipande cha ndimu pemben!Hivi wabongo tuna shida gani? Kwanini mtu anapoelezea habari ya maana lazima atokee limbukeni mmoja aweke hadithi yake ya kujidai ili aonekane zinga la janja kumbe ni limbukeni? Sasa ulichoandika kina uhusiano gani na thread?
Una roho mbaya huwezi changia jinsi hii!Waacheni wawapige, komeni walipokuwa wanasoea wizi kwa njia ya mtandano mlikuwa wapi wacha muibiwe mpaka mkome makapuku nyie. Kwanini msiweke pesa kwenye vinu?
Kuna tabia ya kuchanganya noti za 2000 na za 10000 kwenye ATM tumetoa ripoti zaidi ya mara milioni but tatizo Ndo linazidi.Ndugu wana jamii forums,
Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya kuhusu usalama wa fedha za wateja, NMB inafanyia uchunguzi maoni na malalamiko yenu na tunawahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki pale uchunguzi utakapokamilika. Hata hivyo, ili kusaidia uchunguzi, tumewasiliana na mlalamikaji ili kutusaidia na uchunguzi kwa kutoa taarifa zaidi kuhusu mteja. Ili kulinda taarifa za mteja, tunaomba radhi hatuwezi kuweka taarifa hizo hapa.
Ndugu wanajukwaa, NMB iko makini kusimamia maadili mojawapo ikiwa nikuhakikisha fedha za mteja ni salama muda wote.
NMB pia inapenda kuwahakikishia wateja na jamii kwa ujumla kwamba itaendelea kusimamia sera zote za benki.
Kama kutatokea umepata huduma isiyoridhisha au ufanyajikazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:
1.Kupitia tovuti: http://www.nmbtz.com
2.Kupitia e-mail maalumu: whistleblower@nmbtz.com
3.Kwa posta – Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:
Afisa Mtendaji Mkuu (Bahasha iandikwe “Siri”)
Makao Makuu ya NMB,
P. O. Box 9213,
Azikiwe/Jamhuri Street,
Dar es Salaam, Tanzania.
4.Au kwa kupiga simu zifuatazo:
0658 751 000 Tigo
0779 751 000 Zantel
0685 751 000 Airtel
0800 751 000 Vodacom
Ndugu wana jamii forums,
Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya kuhusu usalama wa fedha za wateja, NMB inafanyia uchunguzi maoni na malalamiko yenu na tunawahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki pale uchunguzi utakapokamilika. Hata hivyo, ili kusaidia uchunguzi, tumewasiliana na mlalamikaji ili kutusaidia na uchunguzi kwa kutoa taarifa zaidi kuhusu mteja. Ili kulinda taarifa za mteja, tunaomba radhi hatuwezi kuweka taarifa hizo hapa.
Ndugu wanajukwaa, NMB iko makini kusimamia maadili mojawapo ikiwa nikuhakikisha fedha za mteja ni salama muda wote.
NMB pia inapenda kuwahakikishia wateja na jamii kwa ujumla kwamba itaendelea kusimamia sera zote za benki.
Kama kutatokea umepata huduma isiyoridhisha au ufanyajikazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:
1.Kupitia tovuti: http://www.nmbtz.com
2.Kupitia e-mail maalumu: whistleblower@nmbtz.com
3.Kwa posta – Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:
Afisa Mtendaji Mkuu (Bahasha iandikwe “Siri”)
Makao Makuu ya NMB,
P. O. Box 9213,
Azikiwe/Jamhuri Street,
Dar es Salaam, Tanzania.
4.Au kwa kupiga simu zifuatazo:
0658 751 000 Tigo
0779 751 000 Zantel
0685 751 000 Airtel
0800 751 000 Vodacom