Pope leo x
JF-Expert Member
- May 11, 2016
- 264
- 143
Wacha ushenzi kujifanya mjanja sana kama wamatawi unafanya nini,tunamawazo tofauti bila shaka utakuwa mfanyakazi Wa mabenki umeumia ulitamani kupiga zimekukosa kuwa na na adabu weweNa ulimbukeni mwingine wa kibongo bongo nao umekuandama... Kufikiri kumjibu mtu kwa kumwita ''dada'' ni ujanja! Tokeni kwenye ushamba uliwafunika ndugu zangu, dunia kubwa hii.