Wizi wa mali za Umma ni reflection ya jamii ya watu wasiostaarabika

MIXOLOGIST

JF-Expert Member
Mar 1, 2016
12,686
31,470
Kwa hasira kabisa ni wafokee wezi wote wa mali za umma.

Jamii yoyote iliyostaarabika inatizama mustakabali wa vizazi vijavyo.

Unapoiba pesa au mali za umma ni kielelezo cha ubinafsi kama mtu mmoja lakini kwa jamii nzima ni reflection ya kuwa jamii hiyo haijastaarabika.

Vipo viashiria vingi vya ustaarabu, kimoja wapo ni kuzuia tamaa, kuwa watu honest na kupenda nchi yako. Jamii inayofanya kazi kwa bidii kwa manufaa yake na vizazi vijavyo, kiwango cha ustaarabu ni cha hali ya juu.

Ukichunguza, wezi wengi wa malii za umma ni wale watu wanao tanua mabarabarani, wasiotaka kupanga foleni ili kupata huduma, wasio fuata utaratibu mitaani na maofisini, hawa flash vyoo , hawaendi kwenye nyumba za ibada, wana michepuko iliyowazidi akili na maarifa, wamelelewa kwenye ufukara, broken family, hawana stable relationships, ni watu wenye msongo mkubwa wa mawazo na mara nyingi mwisho wao huwa mbaya sana.

Aidha, kwa umakini, ukifuatilia IQ za wezi wa mali za umma ni ndogo sana. Serikali inafanya kazi na makaratasi, hakuna namna unaweza kuiba mali au pesa za serikali without leaving a trace. Basically, utajulikana tu, its just a matter of time.

Pamoja na mambo mengine, huwezi kupata baraka wala amani baada ya kuiba mali za umma. Kilio cha watanzania wanyonge kinamfikia mwene-enzi Mungu kwa haraka sana na wezi wote wa mali za umma wanaaibika na kuishi maisha mabaya yasiyo na furaha.

Tuache wizi na dhuluma, tuipende nchi yetu.
 
Nyie si mmekazana kukaza misuli kukemea ushoga acha wajanja wajipigie pesa.

Yaan mmejiaminisha kua Ushoga ni janga zito kuliko Umeme, Maji, Afya, Ajira, Rushwa, Wizi wa Mali za Umma, n.k,

Na badooo, endeleeni kukemea Ushoga ripoti ya mwaka mwingine mtajikuta deni la Taifa limetuzidia tunaambiwa tupishe Nchi wenye madeni yao wajilipe.
 
Kwa hasira kabisa ni wafokee wezi wote wa mali za umma.

Jamii yoyote iliyostaarabika inatizama mustakabali wa vizazi vijavyo.

Unapoiba pesa au mali za umma ni kielelezo cha ubinafsi kama mtu mmoja lakini kwa jamii nzima ni reflection ya kuwa jamii hiyo haijastaarabika.

Vipo viashiria vingi vya ustaarabu, kimoja wapo ni kuzuia tamaa, kuwa watu honest na kupenda nchi yako. Jamii inayofanya kazi kwa bidii kwa manufaa yake na vizazi vijavyo, kiwango cha ustaarabu ni cha hali ya juu.

Ukichunguza, wezi wengi wa malii za umma ni wale watu wanao tanua mabarabarani, wasiotaka kupanga foleni ili kupata huduma, wasio fuata utaratibu mitaani na maofisini, hawa flash vyoo , hawaendi kwenye nyumba za ibada, wana michepuko iliyowazidi akili na maarifa, wamelelewa kwenye ufukara, broken family, hawana stable relationships, ni watu wenye msongo mkubwa wa mawazo na mara nyingi mwisho wao huwa mbaya sana.

Huwezi kupata baraka wala amani baada ya kuiba mali za umma. Kilio cha watanzania wanyonge kinamfikia mwene-enzi Mungu kwa haraka sana na wezi wote wa mali za umma wanaaibika na kuishi maisha mabaya yasiyo na furaha.

Tuache wizi na dhuluma, tuipende nchi yetu.

Hiyo ni jamii ya panya road baba mmoja mama mmoja:

FscJCtVXoAchnuM.jpeg
 
Nyie si mmekazana kukaza misuli kukemea ushoga acha wajanja wajipigie pesa,
Yaan mmejiaminisha kua Ushoga ni janga zito kuliko Umeme, Maji, Afya, Ajira, Rushwa, Wizi wa Mali za Umma, n.k,

Na badooo, endeleeni kukemea Ushoga ripoti ya mwaka mwingine mtajikuta deni la Taifa limetuzidia tunaambiwa tupishe Nchi wenye madeni yao wajilipe.
hahahaaaaa mpishe nchi
 
ndio maana tunasema hata ukete katiba mpya kwa watu kama hawa bado itakuwa shida maana hata sheria zilizopo haziruhusu wizi bali wanazivunja na kujitengenezea ulinzi.

Nini kifanyike: Dictatorship ni muhimu kwa jamii kama hii ambayo bado haijastaarabika ili wapumbavu wanyooshwe na wajifunze kupitia njia ngumu.
 
ndio maana tunasema hata ukete katiba mpya kwa watu kama hawa bado itakuwa shida maana hata sheria zilizopo haziruhusu wizi bali wanazivunja na kujitengenezea ulinzi.

Nini kifanyike: Dictatorship ni muhimu kwa jamii kama hii ambayo bado haijastaarabika ili wapumbavu wanyooshwe na wajifunze kupitia njia ngumu.
ujinga haushindwi kwa bunduki, Elimu, Elimu, Elimu

Tufafika, lakini tukiwa tumechoka
 
Kwa hasira kabisa ni wafokee wezi wote wa mali za umma.

Jamii yoyote iliyostaarabika inatizama mustakabali wa vizazi vijavyo.

Unapoiba pesa au mali za umma ni kielelezo cha ubinafsi kama mtu mmoja lakini kwa jamii nzima ni reflection ya kuwa jamii hiyo haijastaarabika.

Vipo viashiria vingi vya ustaarabu, kimoja wapo ni kuzuia tamaa, kuwa watu honest na kupenda nchi yako. Jamii inayofanya kazi kwa bidii kwa manufaa yake na vizazi vijavyo, kiwango cha ustaarabu ni cha hali ya juu.

Ukichunguza, wezi wengi wa malii za umma ni wale watu wanao tanua mabarabarani, wasiotaka kupanga foleni ili kupata huduma, wasio fuata utaratibu mitaani na maofisini, hawa flash vyoo , hawaendi kwenye nyumba za ibada, wana michepuko iliyowazidi akili na maarifa, wamelelewa kwenye ufukara, broken family, hawana stable relationships, ni watu wenye msongo mkubwa wa mawazo na mara nyingi mwisho wao huwa mbaya sana.

Aidha, kwa umakini, ukifuatilia IQ za wezi wa mali za umma ni ndogo sana. Serikali inafanya kazi na makaratasi, hakuna namna unaweza kuiba mali au pesa za serikali without leaving a trace. Basically, utajulikana tu, its just a matter of time.

Pamoja na mambo mengine, huwezi kupata baraka wala amani baada ya kuiba mali za umma. Kilio cha watanzania wanyonge kinamfikia mwene-enzi Mungu kwa haraka sana na wezi wote wa mali za umma wanaaibika na kuishi maisha mabaya yasiyo na furaha.

Tuache wizi na dhuluma, tuipende nchi yetu.
Hizo bwebwe tu mwenzio wanqiba na wanajenga majumba na watoto wao wanasomesha international

Dawa ya moto ni moto na sio nasaha..
 
Back
Top Bottom