kidereko
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 882
- 1,254
Wizi ajaibua yeye, ni ma officer wa Tiis ndio waligundua, tiis mmoja alikuwa dereva wa Roli katika yanayoingia mne,,kwaiyo Kama ni pongezi Ni kwa idara ya usalama, na wao huwa si wakamataji ,,... hiyo ni promotion au demotion kwa DC Sara Msafairi aliyeibua wizi?
DC ni mwenyekiti wa kamati ya usalama ya wilaya, kazi ikishaisha ye ndio uvamia na polisi n vyombo vya habari kwenye ukamataji,
Kwaiyo uyo DC kuhamishwa hatujui ila huenda pia ni kwa usalama wake zaidi