lusaka city
Senior Member
- Mar 17, 2015
- 146
- 116
Mbeya sasa imekuwa ni mchezo wa kawaida kuibiwa mafuta sheli unaona ni bora ukanunue kwenye kidumu sheli zinapishana km 2 bei za mafuta hazifanani ya kwanza petrol 1950 ya pili 1967 yaani ni changamoto kwetu wakazi wa Mbeya.