Wizi wa laptops kwenye mabasi

mabegi ambayo yana vifaa maalumu ni bora kukaa nalo kuliko kuweka juu siti.na kila mda unaitoa watu wakajua kunalaptop au vifaa muhimu.
 
Vifaa vya muhimu km ivyo unatakiwa ukishuka kwenda msalani au kupata chakula, we shuka tu na begi lako. Dunia ya ss hakuna kumuamini mtu. Na ndiyo maana huwa wanasema kabisa mzigo wa ndani ulinzi ni juu yako abiria.
 
Ukiweka begi lako juu, linasukumwa taratibu mpaka linasogea then linaondoka.
Pia wanapuliza dawa au kunusishwa kitu, then unasinzia.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom