Wizi wa kura wa mwaka 2019 na 2020 umesabisha CCM kichukiwe sana

Stuxnet

JF-Expert Member
Feb 12, 2011
10,087
17,124
Uchaguzi wa 2019 wa Serikali za Mitaa na uchaguzi Mkuu wa 2020 hauwezi kuwa kipimo cha hali ya upinzani nchini.

TISS walifanya utafiti mwanzoni mwa 2020 na wakaona kuwa Magufuli na CCM wasingeweza kupata zaidi ya 30% kama uchaguzi Mkuu ungefanywa kwa haki.

Kwa kuogopa hilo na huku akijua kuwa uchaguzi wa 2015 nao Edward Lowassa alimshinda, ila TISS kupitia Kapilimba akiwa NEC enzi hizo na Team ya Kinana na Nape na Januari Makamba wakiwa Masaki ndiyo walioiba kura kwenye mtandao na kumfanya aonekane ameshinda.

This time October 2020, Magufuli aliamua kuiba kura kupitia TISS, Police na NEC kwa kuchapisha kura FEKI pale Jamana Printers. Then vijana wakawka Kambi pale Mbweni kwa ajili ya ku-tick. Na DSOs wakatumika kutumbukiza kura hizo kwenye masanduku ya kura.

Magufuli alijua kama zingehesabiwa moja moja hata ule wizi wa mtandao usingeweza kuiba kiasi anachotakiwa kumpita Lissu.

Itoshe kusema kisiasa CCM inachukiwa sana na wananchi kwa matendo maovu ya Magufuli ya miaka 5 iliyopita hususan;
-Kumpiga Lissu risasi akiwa bungeni
- Kubomoa nyumba za wananchi wa ubungo kupisha barabara bila kuwafidia
-Kuwa na kikundi cha WASIOJULIKANA chini ya MAKONDA kilichokuwa kinateka na kuua watu
  • Kuwatoa wafanyakazi wa "vyeti feki" huku yeye mwenyewe Magufuli akiwa na PhD feki na Makonda wakiwa na vyeti feki
  • Kutotoa nyongeza ya mshahara kwa wafanyakazi
  • Kupeleka miundombinu mikubwa kwao Chato
  • Kukataa wazi wazi kupeleka maendeleo kwenye majimbo yanayoshikiliwa na UPINZANI
 
Uchaguzi wa 2019 wa Serikali za Mitaa na uchaguzi Mkuu wa 2020 hauwezi kuwa kipimo cha hali ya upinzani nchini.

TISS walifanya utafiti mwanzoni mwa 2020 na wakaona kuwa Magufuli na CCM wasingeweza kupata zaidi ya 30% kama uchaguzi Mkuu ungefanywa kwa haki.

Kwa kuogopa hilo na huku akijua kuwa uchaguzi wa 2015 nao Edward Lowassa alimshinda, ila TISS kupitia Kapilimba akiwa NEC enzi hizo na Team ya Kinana na Nape na Januari Makamba wakiwa Masaki ndiyo walioiba kura kwenye mtandao na kumfanya aonekane ameshinda.

This time October 2020, Magufuli aliamua kuiba kura kupitia TISS, Police na NEC kwa kuchapisha kura FEKI pale Jamana Printers. Then vijana wakawka Kambi pale Mbweni kwa ajili ya ku-tick. Na DSOs wakatumika kutumbukiza kura hizo kwenye masanduku ya kura.

Magufuli alijua kama zingehesabiwa moja moja hata ule wizi wa mtandao usingeweza kuiba kiasi anachotakiwa kumpita Lissu.

Itoshe kusema kisiasa CCM inachukiwa sana na wananchi kwa matendo maovu ya Magufuli ya miaka 5 iliyopita hususan;
-Kumpiga Lissu risasi akiwa bungeni
- Kubomoa nyumba za wananchi wa ubungo kupisha barabara bila kuwafidia
-Kuwa na kikundi cha WASIOJULIKANA chini ya MAKONDA kilichokuwa kinateka na kuua watu
  • Kuwatoa wafanyakazi wa "vyeti feki" huku yeye mwenyewe Magufuli akiwa na PhD feki na Makonda wakiwa na vyeti feki
  • Kutotoa nyongeza ya mshahara kwa wafanyakazi
  • Kupeleka miundombinu mikubwa kwao Chato
  • Kukataa wazi wazi kupeleka maendeleo kwenye majimbo yanayoshikiliwa na UPINZANI
kabisa
 
CCM inachukiwa miaka yote, toka enzi za JK kura zimekuwa zikiibwa kwa manufaa yao, 2010 Dr. Slaa alimburuza JK tume ya uchaguzi na TISS wakamsaidia.

Mleta mada unaamini wizi ulifanyika ila unafurahia Mbowe kuwa gerezani kwa kisingizio cha kumlazimisha Rais afanye asichotaka, huku ukitaka Chadema na Mbowe wawe wapole kuidai Katiba Mpya, wewe binafsi ni tatizo, ndumilakuwili.

Inashangaza sana sifa kubwa waliyonayo Nape na Makamba ni kuiba kura halali za watanzania kwa manufaa ya chama chao ili nao walipwe uteuzi, nao wanatembea vifua mbele kwa huo wizi wao.

Nashangaa zaidi wanapomuita Magufuli mbaya wakati wao ni wabaya zaidi kwa kuwapora watanzania haki yao ya kumchagua kiongozi wanayemtaka, ila wajinga wengi hawalioni hilo, kila siku kuwasifia kwa sifa wasizokuwa nazo.

Taifa limekabidhiwa mikononi kwa wezi ila hakuna anayeshtuka, tunajiendea tu, na kuwaheshimu kwa sababu ya vijembe vyao twitter na suti nzuri wanazovaa.
 
Uchaguzi wa 2019 wa Serikali za Mitaa na uchaguzi Mkuu wa 2020 hauwezi kuwa kipimo cha hali ya upinzani nchini.

TISS walifanya utafiti mwanzoni mwa 2020 na wakaona kuwa Magufuli na CCM wasingeweza kupata zaidi ya 30% kama uchaguzi Mkuu ungefanywa kwa haki.

Kwa kuogopa hilo na huku akijua kuwa uchaguzi wa 2015 nao Edward Lowassa alimshinda, ila TISS kupitia Kapilimba akiwa NEC enzi hizo na Team ya Kinana na Nape na Januari Makamba wakiwa Masaki ndiyo walioiba kura kwenye mtandao na kumfanya aonekane ameshinda.

This time October 2020, Magufuli aliamua kuiba kura kupitia TISS, Police na NEC kwa kuchapisha kura FEKI pale Jamana Printers. Then vijana wakawka Kambi pale Mbweni kwa ajili ya ku-tick. Na DSOs wakatumika kutumbukiza kura hizo kwenye masanduku ya kura.

Magufuli alijua kama zingehesabiwa moja moja hata ule wizi wa mtandao usingeweza kuiba kiasi anachotakiwa kumpita Lissu.

Itoshe kusema kisiasa CCM inachukiwa sana na wananchi kwa matendo maovu ya Magufuli ya miaka 5 iliyopita hususan;
-Kumpiga Lissu risasi akiwa bungeni
- Kubomoa nyumba za wananchi wa ubungo kupisha barabara bila kuwafidia
-Kuwa na kikundi cha WASIOJULIKANA chini ya MAKONDA kilichokuwa kinateka na kuua watu
  • Kuwatoa wafanyakazi wa "vyeti feki" huku yeye mwenyewe Magufuli akiwa na PhD feki na Makonda wakiwa na vyeti feki
  • Kutotoa nyongeza ya mshahara kwa wafanyakazi
  • Kupeleka miundombinu mikubwa kwao Chato
  • Kukataa wazi wazi kupeleka maendeleo kwenye majimbo yanayoshikiliwa na UPINZANI
Approved by public experience
 
CCM inachukiwa miaka yote, toka enzi za JK kura zimekuwa zikiibwa kwa manufaa yao, 2010 Dr. Slaa alimburuza JK tume ya uchaguzi na TISS wakamsaidia.

Mleta mada unaamini wizi ulifanyika ila unafurahia Mbowe kuwa gerezani kwa kisingizio cha kumlazimisha Rais afanye asichotaka, huku ukitaka Chadema na Mbowe wawe wapole kuidai Katiba Mpya, wewe binafsi ni tatizo, ndumilakuwili.

Inashangaza sana sifa kubwa waliyonayo Nape na Makamba ni kuiba kura halali za watanzania kwa manufaa ya chama chao ili nao walipwe uteuzi, nao wanatembea vifua mbele kwa huo wizi wao.

Nashangaa zaidi wanapomuita Magufuli mbaya wakati wao ni wabaya zaidi kwa kuwapora watanzania haki yao ya kumchagua kiongozi wanayemtaka, ila wajinga wengi hawalioni hilo, kila siku kuwasifia kwa sifa wasizokuwa nazo.

Taifa limekabidhiwa mikononi kwa wezi ila hakuna anayeshtuka, tunajiendea tu, na kuwaheshimu kwa sababu ya vijembe vyao twitter na suti nzuri wanazovaa.
Mbowe alikosea timing mwenyewe na yote ni sababu yeye ndiye chama na chama ndiyo yeye, hamna wa kumshauri
 
Mbowe alikosea timing mwenyewe na yote ni sababu yeye ndiye chama na chama ndiyo yeye, hamna wa kumshauri
Bado unaendelea kuonesha ulivyo ndumilakuwili, kwako suala la kudai haki linahitaji "timing" halafu unakuja hapa kulia lia CCM waliiba kura, nikisema nawe haya madai yako hayana maana coz umekosea "timing" nitakuwa nakosea?!
 
Uchaguzi wa 2019 wa Serikali za Mitaa na uchaguzi Mkuu wa 2020 hauwezi kuwa kipimo cha hali ya upinzani nchini.

TISS walifanya utafiti mwanzoni mwa 2020 na wakaona kuwa Magufuli na CCM wasingeweza kupata zaidi ya 30% kama uchaguzi Mkuu ungefanywa kwa haki.

Kwa kuogopa hilo na huku akijua kuwa uchaguzi wa 2015 nao Edward Lowassa alimshinda, ila TISS kupitia Kapilimba akiwa NEC enzi hizo na Team ya Kinana na Nape na Januari Makamba wakiwa Masaki ndiyo walioiba kura kwenye mtandao na kumfanya aonekane ameshinda.

This time October 2020, Magufuli aliamua kuiba kura kupitia TISS, Police na NEC kwa kuchapisha kura FEKI pale Jamana Printers. Then vijana wakawka Kambi pale Mbweni kwa ajili ya ku-tick. Na DSOs wakatumika kutumbukiza kura hizo kwenye masanduku ya kura.

Magufuli alijua kama zingehesabiwa moja moja hata ule wizi wa mtandao usingeweza kuiba kiasi anachotakiwa kumpita Lissu.

Itoshe kusema kisiasa CCM inachukiwa sana na wananchi kwa matendo maovu ya Magufuli ya miaka 5 iliyopita hususan;
-Kumpiga Lissu risasi akiwa bungeni
- Kubomoa nyumba za wananchi wa ubungo kupisha barabara bila kuwafidia
-Kuwa na kikundi cha WASIOJULIKANA chini ya MAKONDA kilichokuwa kinateka na kuua watu
  • Kuwatoa wafanyakazi wa "vyeti feki" huku yeye mwenyewe Magufuli akiwa na PhD feki na Makonda wakiwa na vyeti feki
  • Kutotoa nyongeza ya mshahara kwa wafanyakazi
  • Kupeleka miundombinu mikubwa kwao Chato
  • Kukataa wazi wazi kupeleka maendeleo kwenye majimbo yanayoshikiliwa na UPINZANI
Tatizo ni hekaya za kila siku zisizo na ushahidi.
Tungo hizi tushaziskia saaana
Mkitaka kushinda Uchaguzi hata wa kijiji wekezeni kwa wananchi sio mitandaoni.
Kura hazipo social media. Mnajua sababu za kushindwa sio CCM, wala NEC, wala TISS!!
Sababu za kushidwa uongo na ubinafsi wa viongozi wenu!
 
Uchaguzi wa 2019 wa Serikali za Mitaa na uchaguzi Mkuu wa 2020 hauwezi kuwa kipimo cha hali ya upinzani nchini.

TISS walifanya utafiti mwanzoni mwa 2020 na wakaona kuwa Magufuli na CCM wasingeweza kupata zaidi ya 30% kama uchaguzi Mkuu ungefanywa kwa haki.

Kwa kuogopa hilo na huku akijua kuwa uchaguzi wa 2015 nao Edward Lowassa alimshinda, ila TISS kupitia Kapilimba akiwa NEC enzi hizo na Team ya Kinana na Nape na Januari Makamba wakiwa Masaki ndiyo walioiba kura kwenye mtandao na kumfanya aonekane ameshinda.

This time October 2020, Magufuli aliamua kuiba kura kupitia TISS, Police na NEC kwa kuchapisha kura FEKI pale Jamana Printers. Then vijana wakawka Kambi pale Mbweni kwa ajili ya ku-tick. Na DSOs wakatumika kutumbukiza kura hizo kwenye masanduku ya kura.

Magufuli alijua kama zingehesabiwa moja moja hata ule wizi wa mtandao usingeweza kuiba kiasi anachotakiwa kumpita Lissu.

Itoshe kusema kisiasa CCM inachukiwa sana na wananchi kwa matendo maovu ya Magufuli ya miaka 5 iliyopita hususan;
-Kumpiga Lissu risasi akiwa bungeni
- Kubomoa nyumba za wananchi wa ubungo kupisha barabara bila kuwafidia
-Kuwa na kikundi cha WASIOJULIKANA chini ya MAKONDA kilichokuwa kinateka na kuua watu
  • Kuwatoa wafanyakazi wa "vyeti feki" huku yeye mwenyewe Magufuli akiwa na PhD feki na Makonda wakiwa na vyeti feki
  • Kutotoa nyongeza ya mshahara kwa wafanyakazi
  • Kupeleka miundombinu mikubwa kwao Chato
  • Kukataa wazi wazi kupeleka maendeleo kwenye majimbo yanayoshikiliwa na UPINZANI
Kwanza nikupe pole ndugu yangu.
Hili andiko lako nadhani umeliandika kwa mihemko au kuna watu wamekushikia kaa la moto ndipo ukaamua kuandika haya.

Hivi aliyekuambia kua kuna mgombea aliibiwa kura nani? Na je aliibiwa na nani na kwa maslahi ya nani? Unadhani sera za kutetea ushoga zinaweza kupambana na sera za kuleta Maendeleo?

Hebu angalia mtu leo aliyekua akikaa foleni zaidi ya Saa tatu kutoka Kibaha Hadi Ubungo au Ubungo Hadi Mbezi leo utamuambia nini asikipigie kura mgombea wa CCM.

Miundombinu mingi imeimarishwa, usafiri wa barabara, anga na majini uko vizuri kila kona. Afuneti mtu aliibiwa kura. Tena ingebidi hata mgombea mwenyewe angeibiwa tu maana hakua na anachokinadi zaidi ya ushoga.

Matendo yenu yamewahukumu Kaeni kwa kutulia 2025 sio mbali saaana mkijipanga huenda mkaweza. Maanankilionfhidi ya Tume hakiwasaidii tafuteni ushawishi na muwe na wapiga kura wa kweli sio matapeli kama ninyi. Mwisho badala ya kutaka WAPIGAKURA HURU.
 
Uchaguzi wa 2019 wa Serikali za Mitaa na uchaguzi Mkuu wa 2020 hauwezi kuwa kipimo cha hali ya upinzani nchini.

TISS walifanya utafiti mwanzoni mwa 2020 na wakaona kuwa Magufuli na CCM wasingeweza kupata zaidi ya 30% kama uchaguzi Mkuu ungefanywa kwa haki.

Kwa kuogopa hilo na huku akijua kuwa uchaguzi wa 2015 nao Edward Lowassa alimshinda, ila TISS kupitia Kapilimba akiwa NEC enzi hizo na Team ya Kinana na Nape na Januari Makamba wakiwa Masaki ndiyo walioiba kura kwenye mtandao na kumfanya aonekane ameshinda.

This time October 2020, Magufuli aliamua kuiba kura kupitia TISS, Police na NEC kwa kuchapisha kura FEKI pale Jamana Printers. Then vijana wakawka Kambi pale Mbweni kwa ajili ya ku-tick. Na DSOs wakatumika kutumbukiza kura hizo kwenye masanduku ya kura.

Magufuli alijua kama zingehesabiwa moja moja hata ule wizi wa mtandao usingeweza kuiba kiasi anachotakiwa kumpita Lissu.

Itoshe kusema kisiasa CCM inachukiwa sana na wananchi kwa matendo maovu ya Magufuli ya miaka 5 iliyopita hususan;
-Kumpiga Lissu risasi akiwa bungeni
- Kubomoa nyumba za wananchi wa ubungo kupisha barabara bila kuwafidia
-Kuwa na kikundi cha WASIOJULIKANA chini ya MAKONDA kilichokuwa kinateka na kuua watu
  • Kuwatoa wafanyakazi wa "vyeti feki" huku yeye mwenyewe Magufuli akiwa na PhD feki na Makonda wakiwa na vyeti feki
  • Kutotoa nyongeza ya mshahara kwa wafanyakazi
  • Kupeleka miundombinu mikubwa kwao Chato
  • Kukataa wazi wazi kupeleka maendeleo kwenye majimbo yanayoshikiliwa na UPINZANI
Siwezi kusemea sehemu nyingine za nchi kuhusu uchaguzi, huku kwetu Hai chaguzi zoootee zimewakilisha matakwa ya wana Hai.
Matokeo ya chaguzi zote ni sahihi na ndio wananchi tulivyotaka.

Mgombea mmoja alifikia akiita watu mkutano wake wanaokuja kati ya 5 mpaka 10. Kwisha kabisaaaaaaaaa.
 
Siwezi kusemea sehemu nyingine za nchi kuhusu uchaguzi, huku kwetu Hai chaguzi zoootee zimewakilisha matakwa ya wana Hai.
Matokeo ya chaguzi zote ni sahihi na ndio wananchi tulivyotaka.

Mgombea mmoja alifikia akiita watu mkutano wake wanaokuja kati ya 5 mpaka 10. Kwisha kabisaaaaaaaaa.
halafu mtu amekaa chini ya kivuli kwenye kiosk moja hapa Darisalama anapata juisi ya muwa, anajikuta tu kuandika uongo uongo mwiiingi kisha kuuweka hapa.
Bure kabisaa!
 
Siwezi kusemea sehemu nyingine za nchi kuhusu uchaguzi, huku kwetu Hai chaguzi zoootee zimewakilisha matakwa ya wana Hai.
Matokeo ya chaguzi zote ni sahihi na ndio wananchi tulivyotaka.

Mgombea mmoja alifikia akiita watu mkutano wake wanaokuja kati ya 5 mpaka 10. Kwisha kabisaaaaaaaaa.
Hai ile iliyokuwa chini ya Sabaya na yule kamanda wa polisi aliemwambia Mbowe hawezi kushinda?

Siku nyingine tumia akili kidogo kufikiri kabla hujaandika comment yako.
 
Uchaguzi wa 2019 wa Serikali za Mitaa na uchaguzi Mkuu wa 2020 hauwezi kuwa kipimo cha hali ya upinzani nchini.

TISS walifanya utafiti mwanzoni mwa 2020 na wakaona kuwa Magufuli na CCM wasingeweza kupata zaidi ya 30% kama uchaguzi Mkuu ungefanywa kwa haki.

Kwa kuogopa hilo na huku akijua kuwa uchaguzi wa 2015 nao Edward Lowassa alimshinda, ila TISS kupitia Kapilimba akiwa NEC enzi hizo na Team ya Kinana na Nape na Januari Makamba wakiwa Masaki ndiyo walioiba kura kwenye mtandao na kumfanya aonekane ameshinda.

This time October 2020, Magufuli aliamua kuiba kura kupitia TISS, Police na NEC kwa kuchapisha kura FEKI pale Jamana Printers. Then vijana wakawka Kambi pale Mbweni kwa ajili ya ku-tick. Na DSOs wakatumika kutumbukiza kura hizo kwenye masanduku ya kura.

Magufuli alijua kama zingehesabiwa moja moja hata ule wizi wa mtandao usingeweza kuiba kiasi anachotakiwa kumpita Lissu.

Itoshe kusema kisiasa CCM inachukiwa sana na wananchi kwa matendo maovu ya Magufuli ya miaka 5 iliyopita hususan;
-Kumpiga Lissu risasi akiwa bungeni
- Kubomoa nyumba za wananchi wa ubungo kupisha barabara bila kuwafidia
-Kuwa na kikundi cha WASIOJULIKANA chini ya MAKONDA kilichokuwa kinateka na kuua watu
  • Kuwatoa wafanyakazi wa "vyeti feki" huku yeye mwenyewe Magufuli akiwa na PhD feki na Makonda wakiwa na vyeti feki
  • Kutotoa nyongeza ya mshahara kwa wafanyakazi
  • Kupeleka miundombinu mikubwa kwao Chato
  • Kukataa wazi wazi kupeleka maendeleo kwenye majimbo yanayoshikiliwa na UPINZANI
Na itaendelea KUCHUKIWA MILELE na KULAANIWA
 
Bado unaendelea kuonesha ulivyo ndumilakuwili, kwako suala la kudai haki linahitaji "timing" halafu unakuja hapa kulia lia CCM waliiba kura, nikisema nawe haya madai yako hayana maana coz umekosea "timing" nitakuwa nakosea?!
Usiishi kwa kukariri denooJ. Unakosoa panapoharibiwa na unapongeza palipofanywa vizuri
 

Similar Discussions

19 Reactions
Reply
Back
Top Bottom