fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,065
Wadau mbalimbali baada ya kuwa na mazingira magumu sana ya uchaguzi, ikiwa ni pamoja na mashitaka mengi juu ya kuibiwa kura naomba japo tuanza kufikiria kuweka camera kwenye sehemu ta kudumbikiza kura maana kuna watu wanadumbukiza kura zaidi ya moja, vile makaratasi za kupigia kura wanakuwa wamezipata mapema.
Mtu anakura kwenye semosi, angeziingizaje? eti makontena yanashikwa na kura zinaingizwaje? kwanini pia matokeo ya rais yasibandikwe kwenye vituo vya kupigia kura, kwanini redio na tv zinakatazwa kujumlisha matokeo halali ya vituoni na kutoa mwelekeo? Wale wanaoshikwa na majaribio ya Kuingiza kura feki wanaishi wapi? kwani nini hatupewi full details zao na nani anawatuma?
Nawasilisha
Mtu anakura kwenye semosi, angeziingizaje? eti makontena yanashikwa na kura zinaingizwaje? kwanini pia matokeo ya rais yasibandikwe kwenye vituo vya kupigia kura, kwanini redio na tv zinakatazwa kujumlisha matokeo halali ya vituoni na kutoa mwelekeo? Wale wanaoshikwa na majaribio ya Kuingiza kura feki wanaishi wapi? kwani nini hatupewi full details zao na nani anawatuma?
Nawasilisha