Elections 2010 Wizi wa kura bongo

Papa D

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
753
182
ASUBUHI YA LEO NIMEANGALIA MATOKEO YA KURA KATIKA TV PALE MANZESE NIKASHTUKA KWAMBA:-

1. KITUONI WALIJIANDIKISHA WATU 480 LAKINI WAMEPIGA 132.
2. KITUO KINGINE SIKIKUMBUKI JINA WAMEJIANDIKISHA WATU 510 LAKINI WAMEPIGA KURA WATU 142.
PICHA NLOPATA:
Ni Jambo gumu sana kwa nchi inayojinasibu kuwa na amani kupata mwitikio mdogo kiasi hicho tena kwenye Jiji kubwa kama Dar es salaam ambapo ndo Ikulu ya nchi!! Angalau wapiga kura wangefikia nusu!
Makisio yangu ni kwamba huenda kuna watu wenye nia mbaya na demokrasia waliandikisha majina hewa ili kufanya FRAUD. Is THERE ANY ONE WITH A POSSIBLE REASON WHY SUCH POOR TURN UP?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom