Wizi wa Kampuni za Simu na vinywaji Tanzania

Kiuno14

Member
Feb 26, 2008
6
0
napenda kuwakilisha kwa machungu kabisa wizi wa wazi wazi unaofanywa na Kampuni ya simu ya VODACOM...

Vodacom imekua na dealers wengi Tanzania nzima na katika hao dealers wengi pia wanateua sub-dealers kudeal kwa niaba yao mikoani....

Vodacom imekua inatangaza sana huduma zake kwatika radio, TVs, Newspapers, etc... kwa kipindi cha December 2007 walikua na Vouchers kibao zainazo-karibia ku-expire mitaani...kama kweli inawajali wateja wake ilishindwa nini kutangaza na kuwaambia wateja wake wawe makini wanunuapo vouchers?????

Binafsi nimekutwa na mkasa huo na kwa masikitiko nimejikuta napigwa danadana isioeleweka...mara ooh!! vouchers sio za dealer husika i.e. vouchers zinaonyesha ni za shivacom na wewe mteja unadai umenunua Alphatel!!!!

KWELI HUU NI WIZI WA WAZI WAZI KWA WALALAHOI NA PIA SIO USTAARABU KABISA...LEO HII WANASHEREHEKEA WATEJA MILION 4 LAKIN WAELEWE KUWA KUTOMRIDHISHA MTEJA 1 KWA JAMBO DOGO INAWEZA IKAWAHARIBIA HAYO MAFANIKIO WANAYOJIVUNIA!!!!
 
Kiuno14,ndugu yangu mi nakushauri tu kwa nia njema...usianze kwa kulalamika,...weka wazi umefuata na kuwasilisha malalamiko wapi?vodacom wakakujibu nini?maana mimi ni mteja wao sana na nilipatwa na mkasa kama huo nilikuwa na vocha kibao zilizopita muda na nikapeleka pale makao makuu..nikabadilishiwa bila usumbufu wowote..umejaribu kwenda pale ppf tower?kama uko dar nakushauri uende pale kama mikoani wana ofisi zao kila sehemu....ukiona hujafanikiwa ndio hapo sasa uanze kuwashutumu kama unavyofanya.....ushauri wa bure tu kaka yangu.....
 
Nashukuru Ndugu yangu kwa ushauri wako mzuri...
hadi nimefikia hatua ya kulalamika naomba wenzagu muelewe nimejitahidi kila njia lakinin sijfanikiwa...nlianza kufuatilia hii issue kuanzia Midi-December 2007 (mkoani)....hadi leo hii mtu wa Head office (jina nahifadhi) nlipompigia simu akaniambia "ISSUE YAKO IMEAMULIWA HUTAPATA REFUND YOYOTE..."
 
napenda kuwakilisha kwa machungu kabisa wizi wa wazi wazi unaofanywa na Kampuni ya simu ya VODACOM...
Vodacom imekua na dealers wengi Tanzania nzima na katika hao dealers wengi pia wanateua sub-dealers kudeal kwa niaba yao mikoani....

Vodacom imekua inatangaza sana huduma zake kwatika radio, TVs, Newspapers, etc... kwa kipindi cha December 2007 walikua na Vouchers kibao zainazo-karibia ku-expire mitaani...kama kweli inawajali wateja wake ilishindwa nini kutangaza na kuwaambia wateja wake wawe makini wanunuapo vouchers?????

Binafsi nimekutwa na mkasa huo na kwa masikitiko nimejikuta napigwa danadana isioeleweka...mara ooh!! vouchers sio za dealer husika i.e. vouchers zinaonyesha ni za shivacom na wewe mteja unadai umenunua Alphatel!!!!

KWELI HUU NI WIZI WA WAZI WAZI KWA WALALAHOI NA PIA SIO USTAARABU KABISA...LEO HII WANASHEREHEKEA WATEJA MILION 4 LAKIN WAELEWE KUWA KUTOMRIDHISHA MTEJA 1 KWA JAMBO DOGO INAWEZA IKAWAHARIBIA HAYO MAFANIKIO WANAYOJIVUNIA!!!!
 
napenda kuwakilisha kwa machungu kabisa wizi wa wazi wazi unaofanywa na Kampuni ya simu ya VODACOM...
Vodacom imekua na dealers wengi Tanzania nzima na katika hao dealers wengi pia wanateua sub-dealers kudeal kwa niaba yao mikoani....
Vodacom imekua inatangaza sana huduma zake kwatika radio, TVs, Newspapers, etc... kwa kipindi cha December 2007 walikua na Vouchers kibao zainazo-karibia ku-expire mitaani...kama kweli inawajali wateja wake ilishindwa nini kutangaza na kuwaambia wateja wake wawe makini wanunuapo vouchers?????
Binafsi nimekutwa na mkasa huo na kwa masikitiko nimejikuta napigwa danadana isioeleweka...mara ooh!! vouchers sio za dealer husika i.e. vouchers zinaonyesha ni za shivacom na wewe mteja unadai umenunua Alphatel!!!!
KWELI HUU NI WIZI WA WAZI WAZI KWA WALALAHOI NA PIA SIO USTAARABU KABISA...LEO HII WANASHEREHEKEA WATEJA MILION 4 LAKIN WAELEWE KUWA KUTOMRIDHISHA MTEJA 1 KWA JAMBO DOGO INAWEZA IKAWAHARIBIA HAYO MAFANIKIO WANAYOJIVUNIA!!!!
nahisi au nadhani umewahi kuituma hii.... au naota...!
 
Hoja hii imekwishajadiliwa kitambo,usituletee usanii hapa JF,sisi sio wasanii kwamba tunashughulikia suala moja tu,we have a lot of things to discuss.
 
KAMPUNI ya vinywaji baridi ya Coca Cola imetajwa kuwa miongoni mwa kampuni zisizolipa kodi.

Kutokana na hali hiyo, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewasilisha taarifa yake serikalini ili zichukuliwe hatua.

Taarifa hiyo ilitolewa Dar es Salaam jana na Mwenyekiti wa Bodi ya TRA, Dk. Marcellina Chijoriga katika kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Fedha na Uchumi, baada ya baadhi ya wabunge kuhoji kuhusu taarifa kuwa baadhi ya kampuni hazilipi kodi.

Miongoni mwa wabunge hao, akiwamo Mbunge wa Kisarawe, Athuman Janguo (CCM) walitaka ufafanuzi kuhusu tetesi kuwa kampuni zote za simu za mkononi hazitozwi kodi ingawa zina mapato makubwa, jambo ambalo walisema siyo haki.

Akijibu, Chijoriga alizitaja kampuni kama vile Vodacom na Celtel kuwa zinalipa kiasi. “Wapo wengine ambao hawalipi kabisa,” alisema na kuongeza kuwa atazihifadhi majina kwa sasa.

Hata hivyo, baadhi ya wabunge, akiwamo Mbunge wa Wawi, Hamad Rashid Mohamed (CUF) ambaye pia ni Kiongozi wa Upinzani Bungeni, walimtaka ataje kwa kile walichomweleza kuwa analindwa na Kamati hiyo ya Bunge na ndipo akaitaja Kampuni ya Coca Cola kuwa ni miongoni

Source Habari Leo

HabariLeo: Gwiji la habari Tanzania | Coca-Cola yadaiwa hailipi kodi

Hivi kweli tunataka kuendelea? Tuna tatizo mahali!
 
Akijibu, Chijoriga alizitaja kampuni kama vile Vodacom na Celtel kuwa zinalipa kiasi. "Wapo wengine ambao hawalipi kabisa," alisema na kuongeza kuwa atazihifadhi majina kwa sasa.

Huu sasa ujuha huu, mtu halipi kodi lakini eti jina linahifadhiwa, kuna nini hapa, ujinga huu ndio unaopelekea wananchi kuhisi kuna wakubwa wanapata mgao wa "vijisenti" toka kwenye hizo kampuni zisizolipa kodi na zisizotajika.
 
Yaani kampuni za simu hazilipi kodi? mbona kila tukipiga cmu tunaambiwa ni sh kadhaa kwa sekunde bila vat? ama kadhaa ikiwa na VAT? ama kodi ipi hiyo? au ina maana huwa tukikatwa zinapelekwa wapi? hapa nimelewa tafadhali mwenye kuelewa msaada...
 
Mbona wanafanya heavy adverts ... wanatoa vijizawadi vingi tu na vijisafari ... this would not be a problem maana the company is big.

Sasa inatubidi tuwashughulikie, sote wana JF tuungane tupige marufuku watoto, waume, wake, ndugu jamaa na marafiki kunywa coca cola ... huenda ikasaidia
 
KAMPUNI ya vinywaji baridi ya Coca Cola imetajwa kuwa miongoni mwa kampuni zisizolipa kodi.

Kutokana na hali hiyo, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewasilisha taarifa yake serikalini ili zichukuliwe hatua.

Taarifa hiyo ilitolewa Dar es Salaam jana na Mwenyekiti wa Bodi ya TRA, Dk. Marcellina Chijoriga katika kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Fedha na Uchumi, baada ya baadhi ya wabunge kuhoji kuhusu taarifa kuwa baadhi ya kampuni hazilipi kodi.

Miongoni mwa wabunge hao, akiwamo Mbunge wa Kisarawe, Athuman Janguo (CCM) walitaka ufafanuzi kuhusu tetesi kuwa kampuni zote za simu za mkononi hazitozwi kodi ingawa zina mapato makubwa, jambo ambalo walisema siyo haki.

Akijibu, Chijoriga alizitaja kampuni kama vile Vodacom na Celtel kuwa zinalipa kiasi. “Wapo wengine ambao hawalipi kabisa,” alisema na kuongeza kuwa atazihifadhi majina kwa sasa.

Hata hivyo, baadhi ya wabunge, akiwamo Mbunge wa Wawi, Hamad Rashid Mohamed (CUF) ambaye pia ni Kiongozi wa Upinzani Bungeni, walimtaka ataje kwa kile walichomweleza kuwa analindwa na Kamati hiyo ya Bunge na ndipo akaitaja Kampuni ya Coca Cola kuwa ni miongoni
Hii habari ina maana kubwa sana. Ukiangalia inasema "Coca Cola hawalipi" halafu "Vodacom na Celtel wanalipa kidogo" ndio wanataka kusema Coca Cola hawalipi kabisaaaa!!!! Lakini kwa gazeti serious kama Habari Leo, hii habari ina mapungufu makubwa sana maana haina ufafanuzi wowote, hata kujaribu kumuuliza Hamad Rashid au hata watu wa TRA ambao walikuwapo hapo au Coca Cola wenyewe, ambao nadhani NINA HAKIKA WATAIBUKA NA TAARIFA KUBWA YA UFAFANUZI. Ninavyojua haya makampuni Vodacom, Coca Cola na Celtel ni walipa kodi wakubwa.

Kuna takwimu halisi kabisa zinaonyesha kwamba Vodacom ni walipa kodi wakubwa na kama zikosei waliwahi kupata na cheti kwa ajili hiyo. Inawezekana kuna misamaha katika baadhi ya maeneo jambo ambalo nafahamu ndio ilikuwa theme ya Kamati ya Bunge ya Fedha na Uchumi na hilo lilijibiwa na TRA waliosema kwamba wao hawajawahi kutoa misamaha bali Wizara ya Fedha ndio inatoa misamaha na wao wanasamehe kodi iliyoanishwa kisheria mfano Taasisi za Kidini na vitu ambavyo vimeondolewa kodi.

Mjadala lazima uangalia kwa mapana badala ya kushabikia makosa kama haya ya kiuandishi usio na UMAKINI
 
Halisi,

kwanza nakushukuru kwa kutoa ufafanuzi huo,pili ningependa kujua ni kodi ipi inaongelewa hapa,mapato (income),vat,paye au?

kwa sababu haiingii akilini kuwa vat tunayolipia katika huduma wao wasiiliope TRA,ukiachilia mbali income tax amabyo iko subject to abuse by those corporate chaps...au inawezekana vyombo vyetu vya habari vinafanya makosa katika kuripoti?
 
Kwangu haijalishi aina ipi ya kodi. Kwa nini hazilipwi? Makampuni haya yanatengeneza faida kubwa. Nadhani matatizo ni yetu wenyewe, tumeshindwa kusimamia na kufuatilia suala hili.
 
inauma sana hawa TRA ukiwaona wanavyo nyanyasa wafanyabiashara wadogo utawaonea huruma.........kumbe giant companies wanakumbatiwa dah hii nchi bora kufa tu watu tumesha jikatia tamaa.
Hayo makampuni kuna mikono ya watu wa serikali si bure wanakula tu 10% wote tunafahamu Rostam ana hisa Voda na Lowasa ALPHATEL. yaani wao tu kila kitu wao.
Bora kufa tu ss wanyonge tutashika wapi?Kama kila kitu ni cha high class vibopa huko juu.
 
Ni mambo ya ajabu haya, pamoja na promotion nyingi za bahati nasibu za kipumbavu watu zaidi ya million mbili kugombea kagari kamoja kumbe hata kodi hawalipi!
Hatuna serikali!!! TRA nao ni wajinga tu!!

Wabunge warekebishe sheria zinazohusu mawasiliano! kampuni zote za simu zinazoendesha bahati nasibu, nusu ya kiwango wanachokusanya toka kwa wateja wanaocheza bahati nasibu lazima walipe kama kodi!!

Siku hizi watu hata kazi za maana hawafanyi, kutwa kutuma message ashinde zawadi za bahati nasibu!! nchi imekwama hii!
 
KAMPUNI ya vinywaji baridi ya Coca Cola imetajwa kuwa miongoni mwa kampuni zisizolipa kodi.

Kutokana na hali hiyo, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewasilisha taarifa yake serikalini ili zichukuliwe hatua.

Taarifa hiyo ilitolewa Dar es Salaam jana na Mwenyekiti wa Bodi ya TRA, Dk. Marcellina Chijoriga katika kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Fedha na Uchumi, baada ya baadhi ya wabunge kuhoji kuhusu taarifa kuwa baadhi ya kampuni hazilipi kodi.

Miongoni mwa wabunge hao, akiwamo Mbunge wa Kisarawe, Athuman Janguo (CCM) walitaka ufafanuzi kuhusu tetesi kuwa kampuni zote za simu za mkononi hazitozwi kodi ingawa zina mapato makubwa, jambo ambalo walisema siyo haki.

Akijibu, Chijoriga alizitaja kampuni kama vile Vodacom na Celtel kuwa zinalipa kiasi. "Wapo wengine ambao hawalipi kabisa," alisema na kuongeza kuwa atazihifadhi majina kwa sasa.

Hata hivyo, baadhi ya wabunge, akiwamo Mbunge wa Wawi, Hamad Rashid Mohamed (CUF) ambaye pia ni Kiongozi wa Upinzani Bungeni, walimtaka ataje kwa kile walichomweleza kuwa analindwa na Kamati hiyo ya Bunge na ndipo akaitaja Kampuni ya Coca Cola kuwa ni miongoni

Hivi kweli tunataka kuendelea? Tuna tatizo mahali!


Nahisi ni Zantel ambao Karume ana mkono wake pale na washikaji zake ama wewe unasemaje ?
 
If these giant companies are not paying, from where does the govt get its revenue which is increasng every month?
 
Back
Top Bottom