napenda kuwakilisha kwa machungu kabisa wizi wa wazi wazi unaofanywa na Kampuni ya simu ya VODACOM...
Vodacom imekua na dealers wengi Tanzania nzima na katika hao dealers wengi pia wanateua sub-dealers kudeal kwa niaba yao mikoani....
Vodacom imekua inatangaza sana huduma zake kwatika radio, TVs, Newspapers, etc... kwa kipindi cha December 2007 walikua na Vouchers kibao zainazo-karibia ku-expire mitaani...kama kweli inawajali wateja wake ilishindwa nini kutangaza na kuwaambia wateja wake wawe makini wanunuapo vouchers?????
Binafsi nimekutwa na mkasa huo na kwa masikitiko nimejikuta napigwa danadana isioeleweka...mara ooh!! vouchers sio za dealer husika i.e. vouchers zinaonyesha ni za shivacom na wewe mteja unadai umenunua Alphatel!!!!
KWELI HUU NI WIZI WA WAZI WAZI KWA WALALAHOI NA PIA SIO USTAARABU KABISA...LEO HII WANASHEREHEKEA WATEJA MILION 4 LAKIN WAELEWE KUWA KUTOMRIDHISHA MTEJA 1 KWA JAMBO DOGO INAWEZA IKAWAHARIBIA HAYO MAFANIKIO WANAYOJIVUNIA!!!!
Vodacom imekua na dealers wengi Tanzania nzima na katika hao dealers wengi pia wanateua sub-dealers kudeal kwa niaba yao mikoani....
Vodacom imekua inatangaza sana huduma zake kwatika radio, TVs, Newspapers, etc... kwa kipindi cha December 2007 walikua na Vouchers kibao zainazo-karibia ku-expire mitaani...kama kweli inawajali wateja wake ilishindwa nini kutangaza na kuwaambia wateja wake wawe makini wanunuapo vouchers?????
Binafsi nimekutwa na mkasa huo na kwa masikitiko nimejikuta napigwa danadana isioeleweka...mara ooh!! vouchers sio za dealer husika i.e. vouchers zinaonyesha ni za shivacom na wewe mteja unadai umenunua Alphatel!!!!
KWELI HUU NI WIZI WA WAZI WAZI KWA WALALAHOI NA PIA SIO USTAARABU KABISA...LEO HII WANASHEREHEKEA WATEJA MILION 4 LAKIN WAELEWE KUWA KUTOMRIDHISHA MTEJA 1 KWA JAMBO DOGO INAWEZA IKAWAHARIBIA HAYO MAFANIKIO WANAYOJIVUNIA!!!!