Board ya mikopo inafanya kosa kubwa sana, inaingia mikataba na wanafunzi, fedha zinapitia kwa chuo kumfikia mwanafunzi.
Kinachotokea ni hata wanafunzi wanasaini kiasi ambacho kikilipwa hawapewi mchanganuo wake na hivyo kujikuta wanadaiwa fedha ambazo wajanja(vyuo) walikula. Mfano halisi ni chuo cha University of Arusha, mwishowe inaleta migomo isiyo na maana.
Kinachotokea ni hata wanafunzi wanasaini kiasi ambacho kikilipwa hawapewi mchanganuo wake na hivyo kujikuta wanadaiwa fedha ambazo wajanja(vyuo) walikula. Mfano halisi ni chuo cha University of Arusha, mwishowe inaleta migomo isiyo na maana.