Fao La Kujitoa
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 396
- 966
Wizi na upotevu wa kiasi kikubwa cha 2.4 Trillion pesa ya walipa kodi Tanzania imechapishwa katika jarida la Africa Arguments na wameweka kabisa na ushahidi wa ripoti ya CAG.
Wameanza na kuandika alipoingia madarakani alijinasibu kupigana vita na ufisadi na kubana matumizi.
Haijawahi kutokea katika historia ya nchi yetu upotevu wa kiasi kikubwa cha pesa ya walipa kodi namna hii.
Inasikitisha sana. Kuweni na huruma na aibu!
Linki iyo hapo chini
Tanzania search for missing millions raises questions over $1 billion
Cc Zitto BAK Mag3 JokaKuu Salary Slip
Wameanza na kuandika alipoingia madarakani alijinasibu kupigana vita na ufisadi na kubana matumizi.
Haijawahi kutokea katika historia ya nchi yetu upotevu wa kiasi kikubwa cha pesa ya walipa kodi namna hii.
Inasikitisha sana. Kuweni na huruma na aibu!
Linki iyo hapo chini
Tanzania search for missing millions raises questions over $1 billion
Cc Zitto BAK Mag3 JokaKuu Salary Slip