Wizi, upotevu na ushahidi wa 2.4 Trillion waanikwa na kuchapishwa katika majarida ya kimataifa

Huyo Zitto amewalisha matango pori kwa kuwafanya mkaamini kuwa upotevu upo. Muda sio mrefu atakuja na drama nyingine na atawapa watu wengi tu wa kuwaingiza mkenge.
Zitto anawapotezea muda wapinzani wa kweli..... badala angewaacha wa-focus kwenye mambo ya msingi anatengeneza drama anazojua kuwa anadanganya ikiwa yeye mwenyewe alishakaa PAC...
Upinzani sio wingi wa scandals ila scandals za kweli na ziwe na tija.... 1.5 T ni matango poli
 
Wizi na upotevu wa kiasi kikubwa cha 2.4 Trillion pesa ya walipa kodi Tanzania imechapishwa katika jarida la Africa Arguments na wameweka kabisa na ushahidi wa ripoti ya CAG.

Wameanza na kuandika alipoingia madarakani alijinasibu kupigana vita na ufisadi na kubana matumizi.

Haijawahi kutokea katika historia ya nchi yetu upotevu wa kiasi kikubwa cha pesa ya walipa kodi namna hii.

Inasikitisha sana. Kuweni na huruma na aibu!

Linki iyo hapo chini

Tanzania search for missing millions raises questions over $1 billion

Cc Zitto BAK Mag3 JokaKuu Salary Slip
Binafsi sikubaliani na hoja kwamba hizi pesa zimeibiwa. Nina shaka kubwa sana na competance ya members wa team ya CAG. Wao wslipoona tofauti hiyo ilipaswa wajiongeze wafanye reconciliation ya kiasi halisi kilichopokelewa hazina kitoka kwa wakusanyaji. Si ajabu taarifa wa makusanyo ilipikwa ili ionekane targets zimefikiwa ili kufunika kombe ***** apite. Siyo kila tofauti husababishwa na wizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi sikubaliani na hoja kwamba hizi pesa zimeibiwa. Nina shaka kubwa sana na competance ya members wa team ya CAG. Wao wslipoona tofauti hiyo ilipaswa wajiongeze wafanye reconciliation ya kiasi halisi kilichopokelewa hazina kitoka kwa wakusanyaji. Si ajabu taarifa wa makusanyo ilipikwa ili ionekane targets zimefikiwa ili kufunika kombe ***** apite. Siyo kila tofauti husababishwa na wizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe peke yako lakini CCM wenzako wanajua pesa nyingi iltumika kwenye ununuzi wa wabunge kurudia chaguzi na kuminya demokrasia ikiwemo kuwalipa watengeneza propaganda mbalimbali hata ununuzi wa ndege kwa cash bei kubwa kuliko bei halisi napo imechangia pesa za walipa kodi kuibiwa kijanja janja na wajanja wachache.
 
Upotevu wa ajabu wa fedha umetokea, wewe unasema waendelee kuchapa kazi? Unamaanisha waendelee kupoteza fedha za umma?
Binafsi sikubaliani na hoja kwamba hizi pesa zimeibiwa. Nina shaka kubwa sana na competance ya members wa team ya CAG. Wao wslipoona tofauti hiyo ilipaswa wajiongeze wafanye reconciliation ya kiasi halisi kilichopokelewa hazina kitoka kwa wakusanyaji. Si ajabu taarifa wa makusanyo ilipikwa ili ionekane targets zimefikiwa ili kufunika kombe ***** apite. Siyo kila tofauti husababishwa na wizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
True .. ila idara husika/hazina ndio walitakiwa kufanya reconciliation "kukamilisha vitabu vyao kwa usahihi" koz CAG anafanyia kazi taarifa toka kwenye idara.. hawezi kujiongeza..... CAG hana kosa kutoa hiyo taarifa akihitaji majibu sahihi thru PAC
Shida ni Zitto kugeuza hoja ya ukaguzi kuwa tuhuma/wizi.... hali akijuwa baada ya taarifa ya CAG kuna steps za kupata majibu/ufafanuzi..... Cheap politics za Zitto... fooling the majolity of watz.
 
Huyo Zitto amewalisha matango pori kwa kuwafanya mkaamini kuwa upotevu upo. Muda sio mrefu atakuja na drama nyingine na atawapa watu wengi tu wa kuwaingiza mkenge.
CCM ndiyo waongo na waingiza watu mkenge lakini Wapinzani husema Ukweli na siku zote watesi wa CCM huwa hawapendi Ukweli ndiyo maana huwabambikia kesi na kuwapiga Risasi
 
Wewe peke yako lakini CCM wenzako wanajua pesa nyingi iltumika kwenye ununuzi wa wabunge kurudia chaguzi na kuminya demokrasia ikiwemo kuwalipa watengeneza propaganda mbalimbali hata ununuzi wa ndege kwa cash bei kubwa kuliko bei halisi napo imechangia pesa za walipa kodi kuibiwa kijanja janja na wajanja wachache.
kununua wabunge (anaweza kutumia vote 20 haina maswali wala ukaguzi), ununuzi wa ndege boeing hawawezi kufanya huo ujinga, plus kununua cash kumepunguza interest koz ukilipa kwa instalment comes with interests...
Yako mabaya ila not the way mnavyoambiwa ama kuaminishwa na wanasiasa.
 
CCM ndiyo waongo na waingiza watu mkenge lakini Wapinzani husema Ukweli na siku zote watesi wa CCM huwa hawapendi Ukweli ndiyo maana huwabambikia kesi na kuwapiga Risasi
viko wanavyosema ukweli na ila hii ya 1.5T ni upupu usio msingi..
Sio kosa kuamini vyote koz siasa nayo ni kama dini .. Amini vyote
 
True .. ila idara husika/hazina ndio walitakiwa kufanya reconciliation "kukamilisha vitabu vyao kwa usahihi" koz CAG anafanyia kazi taarifa toka kwenye idara.. hawezi kujiongeza..... CAG hana kosa kutoa hiyo taarifa akihitaji majibu sahihi thru PAC
Shida ni Zitto kugeuza hoja ya ukaguzi kuwa tuhuma/wizi.... hali akijuwa baada ya taarifa ya CAG kuna steps za kupata majibu/ufafanuzi..... Cheap politics za Zitto... fooling the majolity of watz.
Siyo kweli hicho kisingizio cha cheap politics hakina mashiko wala uhusiano na upotevu wa pesa za umma, hata mje na utetezi gani mtadunda tu kumbuka watanzania wameamka wanajua jinsi CCM wanavyotumia nguvu kubwa kujisafisha kwa kuzuia Ukweli kusambaa
 
Siyo kweli hicho kisingizio cha cheap politics hakina mashiko wala uhusiano na upotevu wa pesa za umma, hata mje na utetezi gani mtadunda tu kumbuka watanzania wameamka wanajua jinsi CCM wanavyotumia nguvu kubwa kujisafisha kwa kuzuia Ukweli kusambaa
Sina haja ya kisingizio wala kukushawishi... ila kuna mahali tumia kuelewa kuliko kuamini..
Tuhuma nyingine za msingi ntaungana nawe kwakuwa najua zipo nyingi.... Hii ni BS
 
Hahahah finally
Let's call a spade, a spade!
Let the TRUTH come out....
 
Binafsi sikubaliani na hoja kwamba hizi pesa zimeibiwa. Nina shaka kubwa sana na competance ya members wa team ya CAG. Wao wslipoona tofauti hiyo ilipaswa wajiongeze wafanye reconciliation ya kiasi halisi kilichopokelewa hazina kitoka kwa wakusanyaji. Si ajabu taarifa wa makusanyo ilipikwa ili ionekane targets zimefikiwa ili kufunika kombe ***** apite. Siyo kila tofauti husababishwa na wizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naona Picha ya Emerald kwenye avatar yako.. Kati ya mawe napenda ni Emirald Ruby na black opal.

Best Emerald duniani Colombia na Africa Zambia
 
Mfalme jiwe mwenyewe anasemaga msema kweli ni mpenzi wa mungu.sijui anamaanisha ni yeye au watu wengine
 
Hi
tunaojua jins neo colonialism inavyofany kaz katika nchi za ulimwengu watatu hatupat shida, mwacheni jpm afanye kazi , hizo ni propoganda tu za mabepari ,watanzania sujui tunatak nn ,yani elimu.bure, reli ya kisasa, mrad wa kufua umeme , vituo vya afya kila kona vinajengwa na kuboreshwa,angalia hosp ya benjamin m dodoma kwaajili ya wagomjw wa moyo ,tuacheni utani jpm ni level nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo elimu yako ya bure unafahamu wanafunzi wanavyobanana madarasani!!? Wako hadi 200 darasa moja!!!
 
tunaojua jins neo colonialism inavyofany kaz katika nchi za ulimwengu watatu hatupat shida, mwacheni jpm afanye kazi , hizo ni propoganda tu za mabepari ,watanzania sujui tunatak nn ,yani elimu.bure, reli ya kisasa, mrad wa kufua umeme , vituo vya afya kila kona vinajengwa na kuboreshwa,angalia hosp ya benjamin m dodoma kwaajili ya wagomjw wa moyo ,tuacheni utani jpm ni level nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndiye unayeleta propaganda. Mwenzako ameweka hapo na ushahidi halafu wewe unaibuka na nyimbo za tangu ukoloni? Hayo mareli na madudu gani sijui mbona hata wakoloni wetu na makaburu wa Afrika Kusini walijenga, tena kwa fedha zao. Nyie mnajenga huto tureli mkitudanganya kuwa mnatumia fedha za ndani huku mkikopa kisirisiri. Mtatuletea matatizo muda sio mrefu, haishangazi sasa mmeanza kuwatumia akina Nkamia ili mpige miaka 30 msihojiwe huu ubadhirifu mnaoufanya..
 
Back
Top Bottom