Wizi, upotevu na ushahidi wa 2.4 Trillion waanikwa na kuchapishwa katika majarida ya kimataifa

tunaojua jins neo colonialism inavyofany kaz katika nchi za ulimwengu watatu hatupat shida, mwacheni jpm afanye kazi , hizo ni propoganda tu za mabepari ,watanzania sujui tunatak nn ,yani elimu.bure, reli ya kisasa, mrad wa kufua umeme , vituo vya afya kila kona vinajengwa na kuboreshwa,angalia hosp ya benjamin m dodoma kwaajili ya wagomjw wa moyo ,tuacheni utani jpm ni level nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa.yaani toka dunia kuubwa hatujawai pata mtukufu kama uyu.Nchi ilikua haina shule hata moja,barabara,reli,umeme yaani nchi ilikua ukiwa tena utupu.serikali zote zilizopita hakuna kabisa walichofanya.wewe ndugu hata kama nikusifia wewe umezidi aise.hebu punguza kudanganya basi.
 
lugha haipandi sio tusi.... at least nafurahia kujua kihehe na kishwahili...with a little bit of kichina
CAG hafanyi forensic auditing..... anakagua accounting errors...... makosa ya kihasibu sio necessarily a crime.
Ndio maana baada ya kutoa taarifa majibu yanatolewa PAC by Accounting Officers
Its only a crime/wizi kama majibu hayapo.... Wahasibu huwa tunakesha kujibu hoja za ukaguzi kama hizo.
Kuungana na Zitto na kujiaminisha conclussively kuwa makosa ya kihesabu yana maanisha wizi ni kuwa zuzu No 1 la kitaifa..
Ila kwa sababu kuna watu wanawasaidia ku think na kuwaaminisha kuwa kuna pesa zimeibiwa sintamudu kumsaidia yeyote..
Been there done that... ni hoja za ukaguzi zinazosababishwa na makosa mengi ... hiyo sio taarifa ya wizi.
Komaa endeleeni kudai pesa zimeibiwa 2.4T na you can add up to positive infinity..
Ukiwa muumini wa ujinga una haki ya kunitukana na its ok usiponielewa.....
Mueleze na majibu yaliyotolewa ya hizo auditing query. Umemueleza maana ya auditing report na maana ya auditing query, mueleze saa baada ya auditing query majibu yake ni haya na haya.
 
Bwan
Wizi na upotevu wa kiasi kikubwa cha 2.4 Trillion pesa ya walipa kodi Tanzania imechapishwa katika jarida la Africa Arguments na wameweka kabisa na ushahidi wa ripoti ya CAG.

Wameanza na kuandika alipoingia madarakani alijinasibu kupigana vita na ufisadi na kubana matumizi.

Haijawahi kutokea katika historia ya nchi yetu upotevu wa kiasi kikubwa cha pesa ya walipa kodi namna hii.

Inasikitisha sana. Kuweni na huruma na aibu!

Linki iyo hapo chini

Tanzania search for missing millions raises questions over $1 billion

Cc Zitto BAK Mag3 JokaKuu Salary Slip
Bwana Fao veeepee? tupe update ya fao la kujitoa banaaa:):):):)
 
Wizi na upotevu wa kiasi kikubwa cha 2.4 Trillion pesa ya walipa kodi Tanzania imechapishwa katika jarida la Africa Arguments na wameweka kabisa na ushahidi wa ripoti ya CAG.

Wameanza na kuandika alipoingia madarakani alijinasibu kupigana vita na ufisadi na kubana matumizi.

Haijawahi kutokea katika historia ya nchi yetu upotevu wa kiasi kikubwa cha pesa ya walipa kodi namna hii.

Inasikitisha sana. Kuweni na huruma na aibu!

Linki iyo hapo chini

Tanzania search for missing millions raises questions over $1 billion

Cc Zitto BAK Mag3 JokaKuu Salary Slip
Hata mimi ni Mhasibu sioni sehemu ambayo ina tofauti ya TZS 2.4 Trillion; nilichosoma kwenye ripoti kuna matumizi zaidi ya TZS 290 billion
 
tunaojua jins neo colonialism inavyofany kaz katika nchi za ulimwengu watatu hatupat shida, mwacheni jpm afanye kazi , hizo ni propoganda tu za mabepari ,watanzania sujui tunatak nn ,yani elimu.bure, reli ya kisasa, mrad wa kufua umeme , vituo vya afya kila kona vinajengwa na kuboreshwa,angalia hosp ya benjamin m dodoma kwaajili ya wagomjw wa moyo ,tuacheni utani jpm ni level nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
kwa hiyo mkuu unatuambia report ya CAG imeandikwa na mabeberu....Mh Raisi anafanya kazi kubwa na Appreciated ....lkn yawezekana watendaji wanafanya makosa yanayoleta kutoonekana kwa hizo pesa...yawezekana ni makosa ya kiutendaji au ni wizi....tumsaidie ili kuweza kuwabain watendaji wasio waaminifu sio kila swali jibu lake ni SGR au flyover ,,,au elimu bure....vitu vingine vinahitaji majibu tofauti na hayo.....
 
tunaojua jins neo colonialism inavyofany kaz katika nchi za ulimwengu watatu hatupat shida, mwacheni jpm afanye kazi , hizo ni propoganda tu za mabepari ,watanzania sujui tunatak nn ,yani elimu.bure, reli ya kisasa, mrad wa kufua umeme , vituo vya afya kila kona vinajengwa na kuboreshwa,angalia hosp ya benjamin m dodoma kwaajili ya wagomjw wa moyo ,tuacheni utani jpm ni level nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app

Rubbish from an idiot!!!
 
Afadhali ya marehemu kuliko wewe! Magazeti yanaandika ule ukweli ambao mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali aliouona alafu wewe unasema kwamba tunasemwa vibaya na mabeberu?

Alafu ww hayawani elewa kwamba gazeti hilo limeandika kukusaidia wewe

Wakati wa mjadala wa Tegeta Escrow Account Mzee Wassira aliwaonya baadhi Wabunge wa ccm walioanza kubeza ripoti ya CAG kwa madhumuni tu ya kuwatetea wenzao waliokuwa wametajwa vibaya. Aliwaambia kuwa matokeo ya kubeza kwao ni kwambà tunapoteza nchi. Nchi ni taasisi zilizowekwa kikatiba na kisheria kufanya kazi kwa uhuru bila kuingilia na wanasiasa.
 
cag amekataa kuwa sio kweli ficha ujinga wako popoma ww

Amekataa lini? yeye aliulizwa "kuna pesa imeibiwa?" akasema hapana..... hili ni swali la mtego kisheria kwani lazima angethibitisha nani kaiba, ripoti yake imesema "Haijulikani matumizi yake" full stop. wewe huna akili?
 
Mpaka awamu ya pili iishe watazusha kashakula Tr 40. Kote huko ni kushikwa kubaya. Kama amekwapua mbona hamjamuweka kati ya watu matajiri Tz na Africa. Maana sio bilionea ila ni Trilionea.
Kama CAG kazusha, si muonyeshe uongo uliopo katika hiyo ripoti yake?

Hizo fedha ambazo matumizi yake hayaonekani, tuelezi mmezipeleka wapi?
 
Acha aibe bwana anafanya kazi kubwa. Tatizo ni kwamba zamu hii kigegenge kinachoiba ni cha watu wachache
 
Sijakusoma boss.... Report ya CAG alikabidhiwa president na imejadiliwa bungeni...
Sitetei nisichokijua hadi utakaposema una maana gani..
Ila ninachojua haijawahi kuzuiwa popote na naibu waziri wa fedha alifafanua few days a go ikiwamo nukuu za CAG zilizomo kwenye taarifa ikionesha kuwa haina kosa.... video iko youtube
Ndugu elewa... Kuna watu wanalazimisha scandals hivyo kusema chochote wanachokitaka kuonesha kuwa there is something huge
Kukiwa na scandals za msingi mimi pia itaniumiza na sintatetea... Ila hadi sasa hii ni scandal ya kulazimishia
I hope u aint bias ila mwelewa, hata kama hutakubaliana nami moja kwa moja

Nadhani kilichozuiawa ni special audit report iliyojumuisha majibu ya ile hoja ya 1.5tri/=. Kilichopelekwa bungeni ni summary ya PAC na siyo ripoti kamili kama CAG alivyoandika. Nadhani PAC imeamua kufunika kombe mwaharamu apite. Kinachogomba hapa ni kwamba kwanini baadhi ya wabunge waliodai ripoti kamili wamekataliwa? Nadhani jibu ni rahisi tu. Hivi unapoambiwa bila aibu kuwa fedha nyingi ambazo haziko kwenye bajeti zimepelekwa Ikulu maana yake ni nini? Maana yake fedha hizo zimetumika isivyo halali na matumizi yake hayaelezeki hadharani!
 
Afrika sijui tuna laana gani! Anatokea kiongozi, anaanza kwa kujenga imani kubwa kwa wana wa bara hili lakini baada ya muda mnakuja kugundua ana madudu mabaya kuwazidi waovu wote waliomtangulia.

Sidhani kama Africa ina laana. Nadhani tatizo tu ni mifumo mizuri ya kupata viongozi na kuwasimamia. Ndiyo maana watu walidai katiba mpya. Watawala wakahujumu mchakato baada ya kubaini kuwa watapoteza madaraka. Tangu mbando vyama vyote vikubwa havikutuletea wagombea urais wa kutupa matumaini mapya. Pole sana kama wewe ulijengewa imani na ziara za kushtukiza, utumbuaji majipu, kufagia barabara, kauli za ufisadi nk. Kwa mtu makini na ambaye hakuweza labda kuona mapema zaidi, hizi basi ndizo zilikuwa ishara za awali za mambo yatakayofuata: matukio badala ya sera na mikakati. Mpaka sasa vyombo vya habari vya nje kuutukuza sana mapambano dhidi ya rushwa! Lakini kwetu ssisi wahusika uongozi wenye dhamira ya dhati kwenye eneo hili utaanza na ripoti ya Warioba kuhusu kero ya rushwa. Umeshawahi kusikia hata mara moja hiyo ripoti ikizungumziwa?
 
Wizi na upotevu wa kiasi kikubwa cha 2.4 Trillion pesa ya walipa kodi Tanzania imechapishwa katika jarida la Africa Arguments na wameweka kabisa na ushahidi wa ripoti ya CAG.

Wameanza na kuandika alipoingia madarakani alijinasibu kupigana vita na ufisadi na kubana matumizi.

Haijawahi kutokea katika historia ya nchi yetu upotevu wa kiasi kikubwa cha pesa ya walipa kodi namna hii.

Inasikitisha sana. Kuweni na huruma na aibu!

Linki iyo hapo chini

Tanzania search for missing millions raises questions over $1 billion

Cc Zitto BAK Mag3 JokaKuu Salary Slip
Pumba Kama pumba zingine tu, haiziwii tembo kunywa maji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuakague moral authority ya wale walioandaa Habari hiyo!!? Amini usiamini... wanamapungufu mengi!
 
tunaojua jins neo colonialism inavyofany kaz katika nchi za ulimwengu watatu hatupat shida, mwacheni jpm afanye kazi , hizo ni propoganda tu za mabepari ,watanzania sujui tunatak nn ,yani elimu.bure, reli ya kisasa, mrad wa kufua umeme , vituo vya afya kila kona vinajengwa na kuboreshwa,angalia hosp ya benjamin m dodoma kwaajili ya wagomjw wa moyo ,tuacheni utani jpm ni level nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu hawezi kuleta maendeleo, ni strong institutions, jifunze kwa walioendelea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wizi na upotevu wa kiasi kikubwa cha 2.4 Trillion pesa ya walipa kodi Tanzania imechapishwa katika jarida la Africa Arguments na wameweka kabisa na ushahidi wa ripoti ya CAG.

Wameanza na kuandika alipoingia madarakani alijinasibu kupigana vita na ufisadi na kubana matumizi.

Haijawahi kutokea katika historia ya nchi yetu upotevu wa kiasi kikubwa cha pesa ya walipa kodi namna hii.

Inasikitisha sana. Kuweni na huruma na aibu!

Linki iyo hapo chini

Tanzania search for missing millions raises questions over $1 billion

Cc Zitto BAK Mag3 JokaKuu Salary Slip

Kwa hiyo Beberu ndio mtoa taarifa..!
Mmeshikwa pabaya...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wewe hata ruzuku za chadema hazikuumi mpaka uje ukomalie hizi.kipindi hiki cha jpm ukila hata buku unalo
Jiulize wewe kwanza mpaka leo jpm Kala fedha ngapi za walipa kodi ukiwemo wewe
 
Back
Top Bottom