mopaozi
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 3,301
- 519
Hivi TRA ni taasisi ya kukusanya kodi au kutuibia na kutukamua siye masikini tunaonunua mikweche iliyotumika Japan.haiwezekani mtu umenunua mkweche wako hadi unafika nchini kwa milioni tatu then unaambiwa ushuru milioni nane huu ni wizi mtupu eti wanasingizia oohhh magari haya tumeyawekea bei zetu huu ni wizi huwezi kuipangia gari bei ya juu kwa iliyo nunuliwa wizi mtupu!!! hivi hawaoni trade car view kuna gari hadi za dola 800 dola mia 700 ukiweka na usafiri dola 1000 inakuwa 1700 sawa na mil 3!!!! sasa kwanini mnatuumiza siye masikini hakyanani kuna magari mengi yamerundikana bandarini sasa hv watu wameshindwa kulipia kodi sasa huku ni kuumizana na wizi tuuuu basi wenye fedha tu ndo wataendelea kuendesha magari kwa ufisadi kama ndo njia ya kukusanya kodi mmcechemka big tyme tafuteni vyanzo vingine na si kuwakamua masikini sasa gari ni anasa kweli tutaendelea kuwa masikini tuuuu!!!!