wizi startimes: Mfanyakazi mmoja aliniuzia betry ya startimes wizi

mwisho2016

JF-Expert Member
Jun 27, 2016
724
625
Kama mnavyofamu baadhi yetu tunatumia simu na vifaa vyao startimes na pindi kifaa katika simu kinapopata hitilafu naenda ofisi zao zilizotapataa kila mtaa wa majiji yetu.

Nimekutana na kitimbwi hiki makao makuu pale bamaga, kabla ya kwenda kununua Battery ya simu yangu ya startimes nilifanya uchunguzi kwa wapiga dili wa Battery za kuchonga kariakoo, nilichonga Battery bila mafanikio, nilipeleleza na-kuona maduka yao vipo vipuri vya bidhaa zao.

Lakini watu hawa wanaajili wezi, inashangaza sana unashawishiwa kiwizi, kijinga na ulaghai wa kipuuzi. Batteryile inauzwa sh 15000 za kitanzania. Hii ni bei ya Battery niliyopewa baada ya kuulizia kwenye maduka yao ya pembezoni, kabla nilipoamua kwenda Bamaga mkabala na TBC nilijua pale sitakosa kifaa hiki, nikashangazwa na kuambiwa tunauza sh 15000/- lakini mpaka jumatatu Battery zilizopo zinauzwa sh 25000/- mtu binafsi kazinunua anaziuza baada ya zile za ofisi kwisha..! maajabu.

Nikamwambia binti huyu asiyejua nini maana na madhara ya anachokifanya. Nikasema, sawa mimi nitakuja Jumanne najua sitakosa. Nikaenda Siku ya Jumanne, nilipaki Petro station nikatembea baada ya kuvuka barabara. Yule dada nikamkuta tena, akanipa jibu la utata tena, kuwa zimeisha, nikamwambia pana watu wananunua kwa jumla? akajikanyaga, nilikuwa nimeshika sh 15000/-

nikawaza je nikaongeze hii pesa ninayo kwenye gari ili niondoe usumbufu huu? au nisepe tu? Nikajipa moyo kwa kuwa hakuna walionunua kwa ajili ya kuuza mtaani. Nikaongeza 5000/ akaniuzia kwa 20000/- nikadai risiti akasema hii haina risiti.

Ndugu zangu watanzania sisi ni wa ajabu sana.

Star times wahusika liangalieni hili na mtoe fundisho magazetini. KWENYE mabenki yetu wafanyakazi wanaokosea hutolewa magazetini, wizi, kutokuwa waaminifu ni tatizo kwenye biashara zenu, nilivyoamua kuhamia samsung ilikuwa si mapenzi, niliipenda sana startimes bidhaa zenu lakini kwa kutokuwa makini, mtawakosa wengi
 
Moja ya sifa ya binadamu wengi ni wizi na dhulma.....Unaweza mwajiri na ukamlipa mshahara alioupendekeza mwenyewe na ziada lakini akiingia kazini anatafuta pa kukupiga.Si ajabu hata kijana aliyepewa fungu asimamie ujenzi wa nyumba ya wazazi wake akawapiga cha juu....
Hiyo hulka ni ya binadamu wengi sana.



Dunia Uwanja wa Fujo
 
Kama mnavyofamu baadhi yetu tunatumia simu na vifaa vyao startimes na pindi kifaa katika simu kinapopata hitilafu naenda ofisi zao zilizotapataa kila mtaa wa majiji yetu.

Nimekutana na kitimbwi hiki makao makuu pale bamaga, kabla ya kwenda kununua Battery ya simu yangu ya startimes nilifanya uchunguzi kwa wapiga dili wa Battery za kuchonga kariakoo, nilichonga Battery bila mafanikio, nilipeleleza na-kuona maduka yao vipo vipuri vya bidhaa zao.

Lakini watu hawa wanaajili wezi, inashangaza sana unashawishiwa kiwizi, kijinga na ulaghai wa kipuuzi. Batteryile inauzwa sh 15000 za kitanzania. Hii ni bei ya Battery niliyopewa baada ya kuulizia kwenye maduka yao ya pembezoni, kabla nilipoamua kwenda Bamaga mkabala na TBC nilijua pale sitakosa kifaa hiki, nikashangazwa na kuambiwa tunauza sh 15000/- lakini mpaka jumatatu Battery zilizopo zinauzwa sh 25000/- mtu binafsi kazinunua anaziuza baada ya zile za ofisi kwisha..! maajabu.

Nikamwambia binti huyu asiyejua nini maana na madhara ya anachokifanya. Nikasema, sawa mimi nitakuja Jumanne najua sitakosa. Nikaenda Siku ya Jumanne, nilipaki Petro station nikatembea baada ya kuvuka barabara. Yule dada nikamkuta tena, akanipa jibu la utata tena, kuwa zimeisha, nikamwambia pana watu wananunua kwa jumla? akajikanyaga, nilikuwa nimeshika sh 15000/-

nikawaza je nikaongeze hii pesa ninayo kwenye gari ili niondoe usumbufu huu? au nisepe tu? Nikajipa moyo kwa kuwa hakuna walionunua kwa ajili ya kuuza mtaani. Nikaongeza 5000/ akaniuzia kwa 20000/- nikadai risiti akasema hii haina risiti.

Ndugu zangu watanzania sisi ni wa ajabu sana.

Star times wahusika liangalieni hili na mtoe fundisho magazetini. KWENYE mabenki yetu wafanyakazi wanaokosea hutolewa magazetini, wizi, kutokuwa waaminifu ni tatizo kwenye biashara zenu, nilivyoamua kuhamia samsung ilikuwa si mapenzi, niliipenda sana startimes bidhaa zenu lakini kwa kutokuwa makini, mtawakosa wengi
wacha unoko wewe hata wewe unaiba muda wa bosi wako kila mtz ni mwizi kwa njia moja ama nyinginewe
 
vitu vya kawaida sana ivyo makazin ungejua mshahara wake usingekuja kumtungia uzi hapa unadhani watu wanaishije mjini
 
Kama mnavyofamu baadhi yetu tunatumia simu na vifaa vyao startimes na pindi kifaa katika simu kinapopata hitilafu naenda ofisi zao zilizotapataa kila mtaa wa majiji yetu.

Nimekutana na kitimbwi hiki makao makuu pale bamaga, kabla ya kwenda kununua Battery ya simu yangu ya startimes nilifanya uchunguzi kwa wapiga dili wa Battery za kuchonga kariakoo, nilichonga Battery bila mafanikio, nilipeleleza na-kuona maduka yao vipo vipuri vya bidhaa zao.

Lakini watu hawa wanaajili wezi, inashangaza sana unashawishiwa kiwizi, kijinga na ulaghai wa kipuuzi. Batteryile inauzwa sh 15000 za kitanzania. Hii ni bei ya Battery niliyopewa baada ya kuulizia kwenye maduka yao ya pembezoni, kabla nilipoamua kwenda Bamaga mkabala na TBC nilijua pale sitakosa kifaa hiki, nikashangazwa na kuambiwa tunauza sh 15000/- lakini mpaka jumatatu Battery zilizopo zinauzwa sh 25000/- mtu binafsi kazinunua anaziuza baada ya zile za ofisi kwisha..! maajabu.

Nikamwambia binti huyu asiyejua nini maana na madhara ya anachokifanya. Nikasema, sawa mimi nitakuja Jumanne najua sitakosa. Nikaenda Siku ya Jumanne, nilipaki Petro station nikatembea baada ya kuvuka barabara. Yule dada nikamkuta tena, akanipa jibu la utata tena, kuwa zimeisha, nikamwambia pana watu wananunua kwa jumla? akajikanyaga, nilikuwa nimeshika sh 15000/-

nikawaza je nikaongeze hii pesa ninayo kwenye gari ili niondoe usumbufu huu? au nisepe tu? Nikajipa moyo kwa kuwa hakuna walionunua kwa ajili ya kuuza mtaani. Nikaongeza 5000/ akaniuzia kwa 20000/- nikadai ris
Ndugu zangu watanzania sisi ni wa ajabu sana.

Star times wahusika liangalieni hili na mtoe fundisho magazetini. KWENYE mabenki yetu wafanyakazi wanaokosea hutolewa magazetini, wizi, kutokuwa waaminifu ni tatizo kwenye biashara zenu, nilivyoamua kuhamia samsung ilikuwa si mapenzi, niliipenda sana startimes bidhaa zenu lakini kwa kutokuwa makini, mtawakosa wengi
Maswali:
1.Kilichokufanya utafute wapiga dili ni nini?
2.Kwanini hujaripoti kwa wa kubwa wao hapo ofisini?
 
Kama mnavyofamu baadhi yetu tunatumia simu na vifaa vyao startimes na pindi kifaa katika simu kinapopata hitilafu naenda ofisi zao zilizotapataa kila mtaa wa majiji yetu.

Nimekutana na kitimbwi hiki makao makuu pale bamaga, kabla ya kwenda kununua Battery ya simu yangu ya startimes nilifanya uchunguzi kwa wapiga dili wa Battery za kuchonga kariakoo, nilichonga Battery bila mafanikio, nilipeleleza na-kuona maduka yao vipo vipuri vya bidhaa zao.

Lakini watu hawa wanaajili wezi, inashangaza sana unashawishiwa kiwizi, kijinga na ulaghai wa kipuuzi. Batteryile inauzwa sh 15000 za kitanzania. Hii ni bei ya Battery niliyopewa baada ya kuulizia kwenye maduka yao ya pembezoni, kabla nilipoamua kwenda Bamaga mkabala na TBC nilijua pale sitakosa kifaa hiki, nikashangazwa na kuambiwa tunauza sh 15000/- lakini mpaka jumatatu Battery zilizopo zinauzwa sh 25000/- mtu binafsi kazinunua anaziuza baada ya zile za ofisi kwisha..! maajabu.

Nikamwambia binti huyu asiyejua nini maana na madhara ya anachokifanya. Nikasema, sawa mimi nitakuja Jumanne najua sitakosa. Nikaenda Siku ya Jumanne, nilipaki Petro station nikatembea baada ya kuvuka barabara. Yule dada nikamkuta tena, akanipa jibu la utata tena, kuwa zimeisha, nikamwambia pana watu wananunua kwa jumla? akajikanyaga, nilikuwa nimeshika sh 15000/-

nikawaza je nikaongeze hii pesa ninayo kwenye gari ili niondoe usumbufu huu? au nisepe tu? Nikajipa moyo kwa kuwa hakuna walionunua kwa ajili ya kuuza mtaani. Nikaongeza 5000/ akaniuzia kwa 20000/- nikadai risiti akasema hii haina risiti.

Ndugu zangu watanzania sisi ni wa ajabu sana.

Star times wahusika liangalieni hili na mtoe fundisho magazetini. KWENYE mabenki yetu wafanyakazi wanaokosea hutolewa magazetini, wizi, kutokuwa waaminifu ni tatizo kwenye biashara zenu, nilivyoamua kuhamia samsung ilikuwa si mapenzi, niliipenda sana startimes bidhaa zenu lakini kwa kutokuwa makini, mtawakosa wengi
Sasa kwanini ulishiriki kwenye uharamia wa kutopewa risiti? Uliyoandika hayana maana kama nawe ulishiriki kwenye uharamia
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom