Lagrange
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 2,256
- 2,572
Wakuu Habari,
Siku za hivi karibuni wafanyabiashara wametakiwa kupeleka mashine zao za EFD kwa mawakala walio wauzia , Kwa ajili ya "upgrading" na kutozwa kiasi cha fedha (Tsh 80,000).
Huu ni muendelezo wa kuondoa mazingira mazuri kwa ajili ya biashara, huu ni ukandamizaji dhidi ya wafanya biashara, Wakuu hizi kampuni zinafanya wizi wa wazi zikiwa na baraka kutoka TRA.
Kwanini walituuzia mashine zikiwa na mapungufu ili waje wajipatie hela baadae. Huu ni wizi, kwanini TRA wamekaa kimya huu utapeli ukiendelea?
Siku za hivi karibuni wafanyabiashara wametakiwa kupeleka mashine zao za EFD kwa mawakala walio wauzia , Kwa ajili ya "upgrading" na kutozwa kiasi cha fedha (Tsh 80,000).
Huu ni muendelezo wa kuondoa mazingira mazuri kwa ajili ya biashara, huu ni ukandamizaji dhidi ya wafanya biashara, Wakuu hizi kampuni zinafanya wizi wa wazi zikiwa na baraka kutoka TRA.
Kwanini walituuzia mashine zikiwa na mapungufu ili waje wajipatie hela baadae. Huu ni wizi, kwanini TRA wamekaa kimya huu utapeli ukiendelea?