Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,461
- 39,928
Rafiki yangu mmoja huko Arusha ametimua karibu wafanyakazi wake wote akidai kuwa "wanamtia hasara". Nilipomuuliza kwa undani nni kinetokea sikuhitaji mifano mingi. Kilichomuudhi zaidi ni kuwa waliotakiwa kuwaangalia wa chini ndio walikuwa washiriki lakini wakati anawatimua ndio waliobembeleza zaidi!