Wizi mpya kwa njia ya mtandao waibuka tena

Matanga

JF-Expert Member
Nov 13, 2019
2,281
3,973
Mtu alinipigia simu na nambari hii ya simu 07060714545 akaniambia alikuwa akifanya usajili mtandaoni na kwa makosa aliweka namba yangu kimakosa kwa ile website aliyokua akijisajili, anadai kwamba namba yangu ni sawa na namba yake na kwamba zimetofautiana kidogo tu hivyo anaomba password iliyoingia kwenye simu yangu ambayo mimi kwa kweli niliona imeingia ktk msg na ilikuwa ni 6310.

Alikuwa anaomba kwangu nimpe password iliyotumwa kwenye simu yangu ili apate kumaliza usajili wake. Nilimwambia anipigie simu na namba anayodai ilikuwa inafanana na yangu ili nipate kuthibitisha madai yake, aliniambia hakuwa na pesa katika line hiyo.

Nilipitia mtandaoni ili zaidi janja yake, na nikagundua kwamba alikuwa akijaribu kubadilisha neno la siri ktk simu banking yangu ili aniibie pesa.

Nilivyofungua email yangu ya yahoo nikaona msg ikionesha kuwa mimi nataka nibadili password yangu nikagundua ni udanganyifu, huyu ni hacker wa akaunti na pia 419er.

Ikawa sikumpa tena ile password iliyoingia kwenye simu yangu, ambayo angeweza kuitumia ili kubadilisha upya akaunti yangu ya benki ya simbanking / ya programu ya simu.

Tafadhali hebu tuwe makini na tuchukue tahadhari. Wadanganyifu wanagundua njia mpya kila siku.
Hii ni njia mpya ya kuwadanganya watu ...
Shiriki ili kusaidia wengine.

*Ninajali ............ pls tahadhari*


Nimeituma hii msg baada ya kuiona ina umuhimu mkubwa sana, ili kuepusha watu wasiibiwe.
 
Asante sana mkuu kwa uzi huu, ni kweli wezi wamekuwa na maarifa sana siku hizi labda ni kutokana na idadi ya graduates mtaani na ukosefu wa ajira. Hongera pia kwa kuweza kudhibiti wizi uliokuwa umekudhamiria.

Hivi juzi tu rafiki yangu wa karibu sana nae aliibiwa. Na kisa chenyewe kilikuwa hivi.

Vijana wawili walienda dukani kwake wakamuambia wanasajili line, lakini yeye hakuwa anahitaji, baada ya kuwahoji walimwambia pia anaweza kubadili line yake iwe ya chuo aweze kupata vifurushi vya chuo kwa bei nafuu.

Nafuu siku zote ina garama, akakubali wambadilishie lain moja ya tigo, ambayo kwa maelezo yake aliona haina hathari kwakuwa line hiyo haina pesa tigo pesa na huwa anaitumia mara chache sana, akasahau kwamba kupigia laini hii ndio mitandao ya bank

alijiunganayo. Akawapa line yake wakaweka kwenye simu yao wakafanya walichokifanya baada ya muda kidogo wakampa line yake kwa maelezo kwamba atapokea ujumbe wa kumwambia amejiunga rasmi na line ya chuo, jamaa wakaondokazao

Saa moja baadae skapokea ujumbe ulioonyesha kuna pesa amehamisha kutoka kwenye account yake bank nmb kwenda airtel money, account haikuwa na pesa nyingi lakini mtu chake bwana, jamaa walikuwa wamehamisha kiasi.chote cha pesa kilichokuwepo 120,000. Aliponiambia nilistuka sana nikamwambia itakuwa umewapa neno la siri au waliokuwa wamekuambia uingize neno la siri akaniambia hapana, mpaka hivi leo sijaelewa waliwezaje kuiba kutoka kwenye account ya bank.

Kibaya zaidi baada ya siku mbili atapokea ujumbe kuwa kuna million mbili zimeingia kwenye account yake ya CRDB, na baada ya muda message nyingine ikaingia kuwa million moja na nusu imetoka kutoka kwenye account hiyohiyo. Nikamuuliza kama kulikuwa salio kabla alisema hapana, nikamwamboa angalia salio akakuta hakuna kitu. Hapo nikajua jamaa waliweza kuaccess account zake zote na wangeweza kufanya chochote kwa wakati huo.

Kesho yake ilikuwa juma tatu akaanzia nmb wakamwambia itakuwa umetoa neno la siri, akawaambia hapana wao badala ya takutafuta sababu ili kulinda wateja wengine wakawa wanakomaa na sababu yao. Akawaambia mmeshindwa kulinda pesa yangu fungeni hiyo account.wakamwambia annika hatua tuifunge, akaandika palepale baada ya kumaliza wakamwambia toka 10,000 ya kufungia account akawaambia si nimeshaibiwa sasa mkiweza fungeni mkitaka kaeni nayo.

Akeanda crdb kuthibitisha ile miamala jana yake, crdb wakamwambia ni kweli miamala imefanyika ila ziliingia 2milion zikatolewa 2milion, akawauliza inawezekanaje mtu uingize na atone kwenye account yake jamaa wakawa hawana majibu, huko akablock sim banking zote na akaikana atm kadi so kuanzia sasa ameridhia yeye pesa ni mpaka dirishani. Kiukweli hatuko Salama kabisa na vihela vyetu na hii teknolojia.
 
Mtu alinipigia simu na nambari hii ya simu 07060714545 akaniambia alikuwa akifanya usajili mtandaoni na kwa makosa aliweka namba yangu kimakosa kwa ile website aliyokua akijisajili, anadai kwamba namba yangu ni sawa na namba yake na kwamba zimetofautiana kidogo tu hivyo anaomba password iliyoingia kwenye simu yangu ambayo mimi kwa kweli niliona imeingia ktk msg na ilikuwa ni 6310.

Alikuwa anaomba kwangu nimpe password iliyotumwa kwenye simu yangu ili apate kumaliza usajili wake. Nilimwambia anipigie simu na namba anayodai ilikuwa inafanana na yangu ili nipate kuthibitisha madai yake, aliniambia hakuwa na pesa katika line hiyo.

Nilipitia mtandaoni ili zaidi janja yake, na nikagundua kwamba alikuwa akijaribu kubadilisha neno la siri ktk simu banking yangu ili aniibie pesa.

Nilivyofungua email yangu ya yahoo nikaona msg ikionesha kuwa mimi nataka nibadili password yangu nikagundua ni udanganyifu, huyu ni hacker wa akaunti na pia 419er.

Ikawa sikumpa tena ile password iliyoingia kwenye simu yangu, ambayo angeweza kuitumia ili kubadilisha upya akaunti yangu ya benki ya simbanking / ya programu ya simu.

Tafadhali hebu tuwe makini na tuchukue tahadhari. Wadanganyifu wanagundua njia mpya kila siku.
Hii ni njia mpya ya kuwadanganya watu ...
Shiriki ili kusaidia wengine.

Ninajali ............ pls tahadhari


Nimeituma hii msg baada ya kuiona ina umuhimu mkubwa sana, ili kuepusha watu wasiibiwe.
M'bongo aliponzwa na huruma yake. Asilimia kubwa ya wahanga wa utapeli Tanzania wanaponzwa na ''udadisi na huruma yao isiyokuwa na maana yoyote. Hayo majibizano uliyofanya naye hayakustahili! Ati nipigiwe simu na mtu halafu ananiambia kuna namba imeingia kwenye simu yangu hivyo anaomba nimtajia? Mtu wa aina hii huhitaji wala kuuliza zaidi bali unamkatia simu baada ya kumpiga na tusi kali sana. Kwa kifupi ni kuwa ukipigiwa simu kuulizwa chochote na mtu usiyemjua usimjibu wala usifanye naye majibizano ya aina yoyote.
 
Asante sana mkuu kwa uzi huu, ni kweli wezi wamekuwa na maarifa sana siku hizi labda ni kutokana na idadi ya graduates mtaani na ukosefu wa ajira. Hongera pia kwa kuweza kudhibiti wizi uliokuwa umekudhamiria.

Hivi juzi tu rafiki yangu wa karibu sana nae aliibiwa. Na kisa chenyewe kilikuwa hivi.

Vijana wawili walienda dukani kwake wakamuambia wanasajili line, lakini yeye hakuwa anahitaji, baada ya kuwahoji walimwambia pia anaweza kubadili line yake iwe ya chuo aweze kupata vifurushi vya chuo kwa bei nafuu.

Nafuu siku zote ina garama, akakubali wambadilishie lain moja ya tigo, ambayo kwa maelezo yake aliona haina hathari kwakuwa line hiyo haina pesa tigo pesa na huwa anaitumia mara chache sana, akasahau kwamba kupigia laini hii ndio mitandao ya bank

alijiunganayo. Akawapa line yake wakaweka kwenye simu yao wakafanya walichokifanya baada ya muda kidogo wakampa line yake kwa maelezo kwamba atapokea ujumbe wa kumwambia amejiunga rasmi na line ya chuo, jamaa wakaondokazao

Saa moja baadae skapokea ujumbe ulioonyesha kuna pesa amehamisha kutoka kwenye account yake bank nmb kwenda airtel money, account haikuwa na pesa nyingi lakini mtu chake bwana, jamaa walikuwa wamehamisha kiasi.chote cha pesa kilichokuwepo 120,000. Aliponiambia nilistuka sana nikamwambia itakuwa umewapa neno la siri au waliokuwa wamekuambia uingize neno la siri akaniambia hapana, mpaka hivi leo sijaelewa waliwezaje kuiba kutoka kwenye account ya bank.

Kibaya zaidi baada ya siku mbili atapokea ujumbe kuwa kuna million mbili zimeingia kwenye account yake ya CRDB, na baada ya muda message nyingine ikaingia kuwa million moja na nusu imetoka kutoka kwenye account hiyohiyo. Nikamuuliza kama kulikuwa salio kabla alisema hapana, nikamwamboa angalia salio akakuta hakuna kitu. Hapo nikajua jamaa waliweza kuaccess account zake zote na wangeweza kufanya chochote kwa wakati huo.

Kesho yake ilikuwa juma tatu akaanzia nmb wakamwambia itakuwa umetoa neno la siri, akawaambia hapana wao badala ya takutafuta sababu ili kulinda wateja wengine wakawa wanakomaa na sababu yao. Akawaambia mmeshindwa kulinda pesa yangu fungeni hiyo account.wakamwambia annika hatua tuifunge, akaandika palepale baada ya kumaliza wakamwambia toka 10,000 ya kufungia account akawaambia si nimeshaibiwa sasa mkiweza fungeni mkitaka kaeni nayo.

Akeanda crdb kuthibitisha ile miamala jana yake, crdb wakamwambia ni kweli miamala imefanyika ila ziliingia 2milion zikatolewa 2milion, akawauliza inawezekanaje mtu uingize na atone kwenye account yake jamaa wakawa hawana majibu, huko akablock sim banking zote na akaikana atm kadi so kuanzia sasa ameridhia yeye pesa ni mpaka dirishani. Kiukweli hatuko Salama kabisa na vihela vyetu na hii teknolojia.
Inasikitisha mpaka sasa kuna watu wanaibiwa kizembe namna hii. Wabongo mna nini jamani? Utampaje simu yako kirahisi namna hii?
 
Jana kuna mtu amenipigia kwa namba hii +255673414719 anasema hela imeingizwa kwangu kimakosa inabidi irudishwe.
 
Asante sana mkuu kwa uzi huu, ni kweli wezi wamekuwa na maarifa sana siku hizi labda ni kutokana na idadi ya graduates mtaani na ukosefu wa ajira. Hongera pia kwa kuweza kudhibiti wizi uliokuwa umekudhamiria.

Hivi juzi tu rafiki yangu wa karibu sana nae aliibiwa. Na kisa chenyewe kilikuwa hivi.

Vijana wawili walienda dukani kwake wakamuambia wanasajili line, lakini yeye hakuwa anahitaji, baada ya kuwahoji walimwambia pia anaweza kubadili line yake iwe ya chuo aweze kupata vifurushi vya chuo kwa bei nafuu.

Nafuu siku zote ina garama, akakubali wambadilishie lain moja ya tigo, ambayo kwa maelezo yake aliona haina hathari kwakuwa line hiyo haina pesa tigo pesa na huwa anaitumia mara chache sana, akasahau kwamba kupigia laini hii ndio mitandao ya bank

alijiunganayo. Akawapa line yake wakaweka kwenye simu yao wakafanya walichokifanya baada ya muda kidogo wakampa line yake kwa maelezo kwamba atapokea ujumbe wa kumwambia amejiunga rasmi na line ya chuo, jamaa wakaondokazao

Saa moja baadae skapokea ujumbe ulioonyesha kuna pesa amehamisha kutoka kwenye account yake bank nmb kwenda airtel money, account haikuwa na pesa nyingi lakini mtu chake bwana, jamaa walikuwa wamehamisha kiasi.chote cha pesa kilichokuwepo 120,000. Aliponiambia nilistuka sana nikamwambia itakuwa umewapa neno la siri au waliokuwa wamekuambia uingize neno la siri akaniambia hapana, mpaka hivi leo sijaelewa waliwezaje kuiba kutoka kwenye account ya bank.

Kibaya zaidi baada ya siku mbili atapokea ujumbe kuwa kuna million mbili zimeingia kwenye account yake ya CRDB, na baada ya muda message nyingine ikaingia kuwa million moja na nusu imetoka kutoka kwenye account hiyohiyo. Nikamuuliza kama kulikuwa salio kabla alisema hapana, nikamwamboa angalia salio akakuta hakuna kitu. Hapo nikajua jamaa waliweza kuaccess account zake zote na wangeweza kufanya chochote kwa wakati huo.

Kesho yake ilikuwa juma tatu akaanzia nmb wakamwambia itakuwa umetoa neno la siri, akawaambia hapana wao badala ya takutafuta sababu ili kulinda wateja wengine wakawa wanakomaa na sababu yao. Akawaambia mmeshindwa kulinda pesa yangu fungeni hiyo account.wakamwambia annika hatua tuifunge, akaandika palepale baada ya kumaliza wakamwambia toka 10,000 ya kufungia account akawaambia si nimeshaibiwa sasa mkiweza fungeni mkitaka kaeni nayo.

Akeanda crdb kuthibitisha ile miamala jana yake, crdb wakamwambia ni kweli miamala imefanyika ila ziliingia 2milion zikatolewa 2milion, akawauliza inawezekanaje mtu uingize na atone kwenye account yake jamaa wakawa hawana majibu, huko akablock sim banking zote na akaikana atm kadi so kuanzia sasa ameridhia yeye pesa ni mpaka dirishani. Kiukweli hatuko Salama kabisa na vihela vyetu na hii teknolojia.
Hii imenishitua sana aisee mbona Kama ushirikina hivi?! I still not believe it aisee
 
25 Reactions
Reply
Back
Top Bottom