mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,493
- 767
ndugu wanajamii..nimeamua kuandika habari hii iliyonitokea mimi binafsi jana....
nina kituo cha kufanyia biashara ya TiGo pesa....na yupo dada anaefanya biashara hiyo.
kilichotokea jana..muda wa saa saba mchana simu yangu ilikata network gafla...nikajua labda ni matatizo ya network..
nikazima simu na kuwasha bila msaada.
baada ya saa moja na nusu ikabidi niulizie kwa jamaa zangu..wakaniambia wanapata network...
kumbe on the other side kuna mtu aliblok laini yangu;akairenew namba yangu then akawasiliana na dada wa dukani kwangu kwamba amtumie hela kias cha laki 5 kwenye laini ya tigo pesa aliyoitaja na nyingine ya mpesa....dada kupiga simu ikapokelewa kwa sauti ya upole sana....akashawishika..
comision yangu ilikua imeingia siku hiyo na float kadhaa ikaenda na maji.....
nimeskia haya pia yametokea kwa watu kama sajuki na alikiba...........hivi huu mtandao wa Tigo tuufanyeje??
wizi wa waziwazi kama huu tumlilie nani?.....TCRA mko wapiii???sina msaada wowote hadi hivi sasa..wanasheria mnanisaidiaje...................mbona mpesa hamna huu ushenzi??nadeclare TIGO ni kampuni ya wezi kama wataendelea kulinda uozo huu...............sio suala la pasword wala nn..kwa nn mnakubali kublok laini na kurenew kirahisiii???
nimiebiwa jumla laki 9
nina kituo cha kufanyia biashara ya TiGo pesa....na yupo dada anaefanya biashara hiyo.
kilichotokea jana..muda wa saa saba mchana simu yangu ilikata network gafla...nikajua labda ni matatizo ya network..
nikazima simu na kuwasha bila msaada.
baada ya saa moja na nusu ikabidi niulizie kwa jamaa zangu..wakaniambia wanapata network...
kumbe on the other side kuna mtu aliblok laini yangu;akairenew namba yangu then akawasiliana na dada wa dukani kwangu kwamba amtumie hela kias cha laki 5 kwenye laini ya tigo pesa aliyoitaja na nyingine ya mpesa....dada kupiga simu ikapokelewa kwa sauti ya upole sana....akashawishika..
comision yangu ilikua imeingia siku hiyo na float kadhaa ikaenda na maji.....
nimeskia haya pia yametokea kwa watu kama sajuki na alikiba...........hivi huu mtandao wa Tigo tuufanyeje??
wizi wa waziwazi kama huu tumlilie nani?.....TCRA mko wapiii???sina msaada wowote hadi hivi sasa..wanasheria mnanisaidiaje...................mbona mpesa hamna huu ushenzi??nadeclare TIGO ni kampuni ya wezi kama wataendelea kulinda uozo huu...............sio suala la pasword wala nn..kwa nn mnakubali kublok laini na kurenew kirahisiii???
nimiebiwa jumla laki 9