oba
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 310
- 65
Mwaka jana nilitaka kujiunga na masomo ya degree ya kwanza kupitia Central Admission System, kwa kuwa mimi nina stashahada nikapitia Nacte website. Moja ya mashariti ya kuomba kupitia mtandaoni ni kuwa na namba ya siri inayoonesha umelipia ada ya 50,000 kupitia M PESA. Last year nililipa 50,000 lakin mpaka muda wa maombi unaisha mtandao wao uligoma kufunguka kabisa wakawa wameiba hiyo 50,000 yangu, najua siko pekee yangu wengi tuliibiwa kwa mtindohuo.
Mwaka huu nilikusudia kuanza mchakato huu mapema, nimelipa 50,000 nyingine na kupewa hiyo M PESA code number cha ajabu mpaka sasa mtandao wa CAS haufunguki katika upande wa wenye diploma. Sasa nauliza wahusika, najua wengine mnapita huma jamvini, kwa nini mmeamua kutuibia? cha ajabu hata namba za simu mlizotoa kwenye admission guide book ya 2014/2015 mkipigiwa hampatikani 24hours, hivi kwa nini mnakuwa na tabia za wizi wa kihuni kama huo? nimetumia lugha ya hovyo kwa sababu nishakwazika na kwa ubabaishaji huu Tanzania tusahau kabisa maendeleo.
Mwaka huu nilikusudia kuanza mchakato huu mapema, nimelipa 50,000 nyingine na kupewa hiyo M PESA code number cha ajabu mpaka sasa mtandao wa CAS haufunguki katika upande wa wenye diploma. Sasa nauliza wahusika, najua wengine mnapita huma jamvini, kwa nini mmeamua kutuibia? cha ajabu hata namba za simu mlizotoa kwenye admission guide book ya 2014/2015 mkipigiwa hampatikani 24hours, hivi kwa nini mnakuwa na tabia za wizi wa kihuni kama huo? nimetumia lugha ya hovyo kwa sababu nishakwazika na kwa ubabaishaji huu Tanzania tusahau kabisa maendeleo.