Mpambanaji K
Member
- Dec 29, 2008
- 84
- 6
Leo asubuhi nilikuwa hoteli ya kitalii ya millenium sea breaze hotel bagamoyo nikitafuta booking kwa ajili ya mkutano. Nilikutana na vikundi vikundi vya watu waliokuwa wamehuzinika kwa mgeni mmmoja kuvunjiwa chumba chake na kuibiwa kila kitu-fedha,laptop na mengineyo.
Kwa mujibu wa mfanyakazi mmoja amabye hakutaka jina lake litajwe kwa sababu za usalama wake, wizi katika vyumba vya millenium hoteli sasa ni kitu cha kawaida kabisa. Anasema wiki iliyopita tu kuna mzungu mmmoja aliiibiwa kila kitu na sasa kuna kesi zaidi ya tano za wizi wa vyumbani usiku. kwa mujibu wa mfanyakazi mwingine, cha kusikitisha ni kuwa uongozi wa hoteli unaonekana kutojali kwa kuwa kuna kigogo wa serikali anayewalinda
Kwa mjibu wa mfanyakazi huyo, taarifa za matukio hayo yote yapo polisi. TAKE CARE.
Kwa mujibu wa mfanyakazi mmoja amabye hakutaka jina lake litajwe kwa sababu za usalama wake, wizi katika vyumba vya millenium hoteli sasa ni kitu cha kawaida kabisa. Anasema wiki iliyopita tu kuna mzungu mmmoja aliiibiwa kila kitu na sasa kuna kesi zaidi ya tano za wizi wa vyumbani usiku. kwa mujibu wa mfanyakazi mwingine, cha kusikitisha ni kuwa uongozi wa hoteli unaonekana kutojali kwa kuwa kuna kigogo wa serikali anayewalinda
Kwa mjibu wa mfanyakazi huyo, taarifa za matukio hayo yote yapo polisi. TAKE CARE.