Wizi hotel ya millenium sea breaze hotel bagamoyo

Mpambanaji K

Member
Dec 29, 2008
84
6
Leo asubuhi nilikuwa hoteli ya kitalii ya millenium sea breaze hotel bagamoyo nikitafuta booking kwa ajili ya mkutano. Nilikutana na vikundi vikundi vya watu waliokuwa wamehuzinika kwa mgeni mmmoja kuvunjiwa chumba chake na kuibiwa kila kitu-fedha,laptop na mengineyo.

Kwa mujibu wa mfanyakazi mmoja amabye hakutaka jina lake litajwe kwa sababu za usalama wake, wizi katika vyumba vya millenium hoteli sasa ni kitu cha kawaida kabisa. Anasema wiki iliyopita tu kuna mzungu mmmoja aliiibiwa kila kitu na sasa kuna kesi zaidi ya tano za wizi wa vyumbani usiku. kwa mujibu wa mfanyakazi mwingine, cha kusikitisha ni kuwa uongozi wa hoteli unaonekana kutojali kwa kuwa kuna kigogo wa serikali anayewalinda

Kwa mjibu wa mfanyakazi huyo, taarifa za matukio hayo yote yapo polisi. TAKE CARE.
 
Leo asubuhi nilikuwa hoteli ya kitalii ya millenium sea breaze hotel bagamoyo nikitafuta booking kwa ajili ya mkutano. Nilikutana na vikundi vikundi vya watu waliokuwa wamehuzinika kwa mgeni mmmoja kuvunjiwa chumba chake na kuibiwa kila kitu-fedha,laptop na mengineyo.

Kwa mujibu wa mfanyakazi mmoja amabye hakutaka jina lake litajwe kwa sababu za usalama wake, wizi katika vyumba vya millenium hoteli sasa ni kitu cha kawaida kabisa. Anasema wiki iliyopita tu kuna mzungu mmmoja aliiibiwa kila kitu na sasa kuna kesi zaidi ya tano za wizi wa vyumbani usiku. kwa mujibu wa mfanyakazi mwingine, cha kusikitisha ni kuwa uongozi wa hoteli unaonekana kutojali kwa kuwa kuna kigogo wa serikali anayewalinda

Kwa mjibu wa mfanyakazi huyo, taarifa za matukio hayo yote yapo polisi. TAKE CARE.

Kaaz kwelikweli hapo kwenye red! Utafika muda watajali tu, habari zikienea na wateja kufahamu usalama mdogo ulio hapo hawatafikia tena! Wewe ukiona mwenzio kaibiwa jaribu kuongea na meneja au mkurugenzi kama anapatkana, ukiona hawatoi ushirikiano wa kutosha iogope hiyo "gesti" kama ukoma! Wamiliki wengi wa mahotel wanashindwa kutambua umuhimu wa usalama wa mali yoyote ya mteja (hata iwe shati tu!), mteja hawezi kusubmit kila kitu kwenye safebox ya mapokezi! Hoteli ya kweli hata ukisahau siraha, novel, saa, sh 100 House keeper ataziwasilisha na kuwekwa kwenye "lost and found book" na mteja atapigiwa simu kufahamishwa! Wakati mwingine kukubali hasara kunaepusha hasara, mtu kapoteza say 2 laptops=5,000,000-ukimwomba radhi, ukaongea naye na kumuomba mgawane hasara (2,500,000) utakuwa umetunza uaminifu!
MTEJA NI MFALME!
 
Jamani mbona mwenye hoteli ni mtu wa kuheshimika sana!
Kaajiri makanjanja au wanataka kumharibia jina
 
Jamani mbona mwenye hoteli ni mtu wa kuheshimika sana!
Kaajiri makanjanja au wanataka kumharibia jina
 
bad news... labda tunasubiri mameneja toka kenya na walinzi toka south sudan
 
bad news indeed, habari ni kwamba wafanya kazi wa ndani pamoja na walinzi wa getini wanashirikiana. wizi wote amabo umetokea zaidi ya mara 7 sasa unaffanyika kwenye executive rooms, bila shaka ndio kwa wanaohisiwa kuwa na fedha na vitu vingine vya thamani. habari zinasema kuwa juzi ameibiwa muhadhiri wa chuo kikuu cha dsm aliyekuwa anaratibu mkutano mmoja hapo hotelini.

Habari za kipolisi na hapo ndani hotelini zinasema kuwa polisi kila kunapotokea hujaribu kuchukua hatua stahili za kisheria, lakini mara kwa mara hukwama kwa sababu wafanya kazi wengi wana undungu na JK.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom