Nilijiuliza maswali kama hayo jana mengi tuu
Anakanusha kwa nguzu zote tena kw akurudia rudia kuwa fedha hazijaibiwa
Kuna uhamishaji ulifanyika
Je kama hakuna wizi unaunda tume ambayo itakula pesa kuchunguza nini kama una uhakika hakuna wizi uliotokea
maana kama ni kuhamishwa tuu kw afedha ni suala la yeye na watu wa wizara yake kuangalia ni kitu gani kimetokea wakirekebishe na kusema wazi kuwa fedha ipo haijaibiwa
Sijui anamdanganya nani au kukurupuka kukanusha kitu ambacho huna uhakika nacho
Sidhani kama angelazimika kutoa taarifa kwenye media kama media isingekuwa imeandika tena taarifa ya uongo.tunapenda sana kusikia wizi umefanyika. Kamati ikiundwa na Bunge baada ya pesa kuwa imeshaibiwa halafu kamati hiyo ikatumia mil 500 kuchunguza pesa ambayo imeshaibiwa tunafurahia. Serikali ikiunda timu kupitia mifumo yake kwa lengo la kubaini mapungufu na kuboresha mifumo yake ili kuzuia mianya ya wizi tunalalamika. Hii ndio tanzania.