Bebrn
Senior Member
- Mar 20, 2008
- 103
- 23
hvivi kweli tumefikia kiasi hiki cha kuwaona watanzania wote ni wajinga kiasi hiki, membe leo wakati anaongea na waandishi wa habari alisisitiza kuwa fedha za safari ya raisi zilikuwa hazijaibiwa ila wameunda tume ya kuchunguza, sasa hapo anamaanisha nini? kwa walioelewa tu wanaweza kunipa jibu