Obi
JF-Expert Member
- Jul 6, 2009
- 374
- 79
Kumezuka wimbi la wizi chuo Kikuu cha Dar es Salaam hasa katika maofisi ya wahadhiri. Usiku wa kuamkia leo kuna ofisi moja imevunjwa na mvunjaji kuiba computer yenye thamani isiyopungua 1. 5 million. Sasa najiuliza hao wezi wanatoka wapi? Mamlaka husika (Security Guards) wanafanya nini mpaka mtu avunje ofisi na kuiba? au wenyewe ndio wahusika wakuu? Inashangaza pia chuo kikongwe hakina ulinzi imara na wa uhakika.
Ninashauri Mamlaka ya Chuo hicho kuweka security alarms na kamera ziwasaidie kwa hili
Ninashauri Mamlaka ya Chuo hicho kuweka security alarms na kamera ziwasaidie kwa hili