Wizara ya Viwanda na Biashara ipo kwenye mchakato wa kuanzisha Wakala wa Shopping Malls Tanzania

Umeniwekea ujenzi wa “infrastructures” ambazo ni kazi za serikali na ujenzi wa malls ambayo ni kazi ya private sekta mzee?

Kuna reason for that!

Kwamba muundo mbinu ni serikali na vitu vidogo vidogo ni private sekta!

Hueleweki mzee!
Nimekuuliza nini maana ya private sector MAAMUZI/HELA
 
Shopping mall na soko ni vitu viwili tofauti acha upumbavu mzee!

Soko hadi watu wanakunya mchana peupe!

Mall is modern well organized facility with sophisticated running procedures only private ownership can assure,govt can not!

Najua maana ya sekta binafsi,dont test my skills!
Private sekta yako imefeli 100% inaumiza watu
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom