Wizara ya Utalii yatangaza rasmi kuwa itawatumia wanawake wenye maumbo mazuri kuvutia watalii

Acheni ushabiki wa kininga. Mbona Rwanda wanatumia wanawake kutangaza utalii wake na hawajasema kuwa wanawadhalilisha wanawake. Na matokeo yao ni mazuri tu
Screenshot_20190222-091102.jpeg
Screenshot_20190222-090918.jpeg
Screenshot_20190222-091127.jpeg
Screenshot_20190222-091256.jpeg


God save us
 
Uzuri wa wanawake ni suala pana. Wenzetu wazungu hawavutiwi na wanawake wanene kama sisi waafrika. Sasa lazima tujue watalii watavutika na mama tetema!!?
 
Back
Top Bottom