TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,075
mkuu utakuta wameshatandika huo mpira, wala huna haja ya kununua TZ, utatozwa export levy bureeNitaenda kutalii huko nibebe na mpira ule wa kutandika kitandani tusuharibu godoro
Mmmh!! wanawake wamekua kama masokwe kuvutia watalii huo niudhalilishaji wa jinsia ya kike.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli hii ni visit rwanda!Acheni ushabiki wa kininga. Mbona Rwanda wanatumia wanawake kutangaza utalii wake na hawajasema kuwa wanawadhalilisha wanawake. Na matokeo yao ni mazuri tuView attachment 1028705View attachment 1028706View attachment 1028707View attachment 1028709
God save us