Wizara ya ujenzi inayoongoza kwa kutoa na kupokea rushwa

IFUNYA

JF-Expert Member
Nov 18, 2011
363
130
:a s 465:jf kwa siku za nyuma tulisoma kwenye magazeti kuwa mkuu wa kupambana na kuzuia rushwa nchi anasema kuwa idara za mahakama na polisi zinaongoza kwa rushwa nchini. Mimi sikubaliani na taarifa hii ebu atembelee wizara ya ujenzi aone kulivyooza, hasa hasa wakala wa barabara nchini (tanzania national roads agency - tanroads) mambo yanaanzia kwnye manunuzi.
 
Construction industry is stinking with corruption. Ukiona majengo marefu marefu yanayofadhiliwa au kujengwa na institution za serikali, barabara au majengo ya halmashauri, shule za umma, na chochote kile, bila kujuana na mtu au kuwahakikishia waungwana nao utawatoa, sahau kufanya kazi za aina hiyo.
Kifupi, nafikiri sasa rushwa tumefanya imekuwa ni kitu rasmi.
 
Hivi Tanzania bila kitengo cha kupambana na rushwa haiwezekani? Hivi PCCB inafanya kazi gani? Kwangu mimi naona ni matumizi mabaya ya fedha za uma tu. Hakuna wanachofanya ambacho kina faida. Matumizi yao kwa mwaka ni makubwa zaidi kuliko fedha walizookoa. Naona ifutwe tu.
 
Hivi Tanzania bila kitengo cha kupambana na rushwa haiwezekani? Hivi PCCB inafanya kazi gani? Kwangu mimi naona ni matumizi mabaya ya fedha za uma tu. Hakuna wanachofanya ambacho kina faida. Matumizi yao kwa mwaka ni makubwa zaidi kuliko fedha walizookoa. Naona ifutwe tu.
nadhani PCCB wapo kwenye top 10 most corrupt institutions hapa bongo,
 
Hivi Tanzania bila kitengo cha kupambana na rushwa haiwezekani? Hivi PCCB inafanya kazi gani? Kwangu mimi naona ni matumizi mabaya ya fedha za uma tu. Hakuna wanachofanya ambacho kina faida. Matumizi yao kwa mwaka ni makubwa zaidi kuliko fedha walizookoa. Naona ifutwe tu.
Ni kweli ivunjwe..haina tija ni hasara tu.
 
PCCB wako kimatamasha na mikutano zaidi. Hawako kusaidia kupambana na rushwa maana rushwa ilipofikia sasa mbona kama ni kitu rasmi na halali.
 
Jamani, kasema hivi fedha mfuko wa Muungano ndizo zitakazotumika .kwa maoni yangu ni kwamba kama Zenji inachangia mfuko huo automatically watakuwa wamechangia .
Kilichonikera ni pale alipohamasisha wazenji wajitokeze kutoa maoni ya kero za muungano na kutoa mfano kwamba ,mabalozi nchi za nje toka zenji ni 3 tu.kuonyesha hali ya upendeleo.kwa maoni yangu nadhani kwa idadi yao kila mzenji atatakiwa kuwa kiongozi .Ipo haja ya kuangalia uwiano wa idadi ya watu katika uwakilishi wa muungano wetu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom