LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 13,111
- 17,710
Kuna mwanafunzi mmoja wa form six katika mahafali yake ya kuhitimu kidato cha sita, yeye alivalishwa shada la noti za elfu kumi kumi, haijulikani kama mamlaka za fedha waliona noti hizo zilizotobolewa na kuingizwa uzi zivaliwe kama shada la maua