USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,664
Wizara ya sheria na katiba imetoa onyo kali kwa watanzania wenye tabia ya kuwatunza watu pesa kwa kiwatupia chini jambo ambalo ni kinyume na sheria
Imewatahadharisha watanzania kuwa sheria kali itachukuliwa ikiwa ni pamoja na kifungo ,
Kwa wale wenye tabia za kutoa pesa kwa kuzitupa chini kwenye sherehe,harusi, mahafari, kanisani na n.k wanatahadhalishwa kuwa sasa jeshi la polisi limepewa maelekezo kuchua hautau kali
USSR
Imewatahadharisha watanzania kuwa sheria kali itachukuliwa ikiwa ni pamoja na kifungo ,
Kwa wale wenye tabia za kutoa pesa kwa kuzitupa chini kwenye sherehe,harusi, mahafari, kanisani na n.k wanatahadhalishwa kuwa sasa jeshi la polisi limepewa maelekezo kuchua hautau kali
USSR