Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,316
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (last born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.
Eti ndugu zangu watanzania?
Hivi kwanini unakuta "a world class celebrity" anakuja kutembelea Tanzania na kuitangaza vema kisha hakuna hata afisa muandamizi kutoka serikalini/wizara husika ya sanaa na michezo ambaye anafunga safari ya kumtembelea ili kutambua tu uwepo wake?
Kama tumeweza kuitangaza vema nchi mpaka celebrity akaweza kufahamu vivutio tulivyonavyo akaja Tanzania, kwanini kwenye kuonesha "courtesy" ndogo kama hii tusiboreshe?
Mimi ninamshukuru sana mzee Dr. Mahiga alifanya vema sana kwa upande wake kwenye ku-handle top foreign diplomats waliokuwa wanazuru nchi yetu. Tazama picha hapo chini.
Tazama picha hapo Chini Dr. Mahiga akiwa na Rais wa Switzerland aliyekuja Tanzania kwa ziara binafsi ya utalii.
Hawa celebrities tukiwatumia vizuri wanaweza kutupa ushauri wa mambo mawili matatu ya namna gani tunaweza kuboresha tasnia zetu za sanaa na mchezo, ila technical staff wa TFF/BMT na BASATA wamelala tu.
Mimi yangu macho tu. Jioni njema.
Kwa kumalizia tu nasema, NSSF nipeni fao langu, mtaani maisha magumu sana.
OUR MOTTO
==========
KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. JIULIZE UMEIFANYIA NINI LA MAANA NCHI YAKO MPAKA SASA???
Eti ndugu zangu watanzania?
Hivi kwanini unakuta "a world class celebrity" anakuja kutembelea Tanzania na kuitangaza vema kisha hakuna hata afisa muandamizi kutoka serikalini/wizara husika ya sanaa na michezo ambaye anafunga safari ya kumtembelea ili kutambua tu uwepo wake?
Kama tumeweza kuitangaza vema nchi mpaka celebrity akaweza kufahamu vivutio tulivyonavyo akaja Tanzania, kwanini kwenye kuonesha "courtesy" ndogo kama hii tusiboreshe?
Mimi ninamshukuru sana mzee Dr. Mahiga alifanya vema sana kwa upande wake kwenye ku-handle top foreign diplomats waliokuwa wanazuru nchi yetu. Tazama picha hapo chini.
Tazama picha hapo Chini Dr. Mahiga akiwa na Rais wa Switzerland aliyekuja Tanzania kwa ziara binafsi ya utalii.
Hawa celebrities tukiwatumia vizuri wanaweza kutupa ushauri wa mambo mawili matatu ya namna gani tunaweza kuboresha tasnia zetu za sanaa na mchezo, ila technical staff wa TFF/BMT na BASATA wamelala tu.
Mimi yangu macho tu. Jioni njema.
Kwa kumalizia tu nasema, NSSF nipeni fao langu, mtaani maisha magumu sana.
OUR MOTTO
==========
KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. JIULIZE UMEIFANYIA NINI LA MAANA NCHI YAKO MPAKA SASA???