Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,840
Wizara ya nishati na madini kanda ya kaskazini imeyafunga machimbo yote matatu ya kuchimba moramu na mawe katika kijiji cha Pumwani wilayani Moshi baada ya kutokea ajali iliyosababisha vifo vya watu saba ambao walikuwa wakipakia moram kwenye lori baada ya kufukiwa na maporomoko ya udongo.