Kutokana na fulsa zilizotakiwa watanzania waweze kusoma masuala ya gesi na mafuta lakini mpaka sasa nafasi hizi kwenye website ya wizara ya madini zimefungwa na wajanja wachache hili zisifunguke na watoto wao wakiwasambazia ujumbe na kuwapa tangazo hilo . Je waziri analifahamu tatizo hilo au nae ni sehemu ya mpango huo? je Wananchi wakiamua kufanya kama ya mtwara Tatizo litakuwa kwa wananchi au watendaji wa wizara na serikali?