Wizara ya Nishati na Madini sasa apewe mwanamke, wanaume imetushinda

moma2k

JF-Expert Member
Dec 12, 2010
1,061
1,327
Ni ukweli kwamba wizara hii ya Nishati na Madini imetushunda sisi wanaume
Sasa apaewe mwanamke mwenye UZALENDO NA MCHAPAKAZI. Kuna wanawake makini sana ambao wamedhibitisha uwezo na uzalendo wao kwa kufanya kazi vizuri ktk wizara au ofisi zao. Mfano:
1.Angela Kairuki
2.Ummy Mwalimi
3.Mama Mabula
4.Mkuu wa mkoa wa Shinyanga(jina la mama huyu silifahamu).

Hawa ni baadhi tu. Moja wapo apewe wizara hii. Nasema wazi kabisa, akipewa mwanaume BWAWA la umeme la mto Rufiji(S.Goji) halitijegwa. Atajificha kwenye Hoja potofu ya mazingira ili kulinda masilahi ya wezi wanaotuuzia umeme kama IPTL. Hoja ya mazingira ni hoja feki.

Mwisho, nakuomba mhesh.Raisi kuhusu ujenzi wa bwawa hilo la umeme lenya uwezo wa kuzalisha MGW 2100, usimame miguu miwili, asikutikise mtu, mbele kwa mbele mpaka bwawa hilo lijengwe. Wananchi walalahoi tupo nyuma yako. Wazungu na NGO zao nii WAONGO wakubwa. Mbona nchi zao zinamwaga taka za nukla kwenye nchi za afrika lakini wao wapo kimya. Migodi inachafua maji na kuharibu mazingira mbona wapo kimya.

Mzungu yupo kwaajili ya kutetea na kulinda masilahi yao kwa mwavuli wa mazingira. Hoja ya mazingira ni STAREHE. Nchi hii yetu. Kanuni ya sovergnity inatulinda. BWAWA HILO LAZIMA LIJENGWE KWA MASILAHI MAPANA YA WATANZANIA.
 
Dada ungesema tu baadh ya wanaume imewashinda kwan nawe lazima ujiite mwanaume ili uonekane una point?

Ni ukweli kwamba wizara hii ya Nishati na Madini imetushunda sisi wanaume
Sasa apaeemwanamke mwenye UZALENDO NA MCHAPAKAZI. Kuna wanawake makini sana ambao wamedhibitisha uwezo na uzalendo wao kwa kufanya kazi vizuri ktk wizara au ofisi zao. Mfano:
1.Angela Kairuki
2.Ummy Mwalimi
3.Mama Mabula
4.Mkuu wa mkoa wa Shinyanga(jina la mama huyu silifahamu).

Hawa ni baadhi tu. Moja wapo apewe wizara hii. Nasema wazi kabisa, akipewa mwanaume BWAWA la umeme la mto Rufiji(S.Goji) halitijegwa. Atajificha kwenye Hoja potofu ya mazingira ili kulinda masilahi ya wezi wanaotuuzia umeme kama IPTL. Hoja ya mazingira ni hoja feki.

Mwisho, nakuomba mhesh.Raisi kuhusu ujenzi wa bwawa hilo la umeme lenya uwezo wa kuzalisha MGW 2100, usimame miguu miwili, asikutikise mtu, mbele kwa mbele mpaka bwawa hilo lijengwe. Wananchi walalahoi tupo nyuma yako. Wazungu na NGO zao nii WAONGO wakubwa. Mbona nchi zao zinamwaga taka za nukla kwenye nchi za afrika lakini wao wapo kimya. Migodi inachafua maji na kuharibu mazingira mbona wapo kimya.

Mzungu yupo kwaajili ya kutetea na kulinda masilahi yao kwa mwavuli wa mazingira. Hoja ya mazingira ni STAREHE. Nchi hii yetu. Kanuni ya sovergnity inatulinda. BWAWA HILO LAZIMA LIJENGWE KWA MASILAHI MAPANA YA WATANZANIA.
 
Dada ungesema tu baadh ya wanaume imewashinda kwan nawe lazima ujiite mwanaume ili uonekane una point?
Mimi ni mwanaume. Siyo dada. Fuatlia nyuzi zangu zote. I am a true man. Nimeoa na nina familia. Acha kunidhalilisha.
 
Aiseee....basi mwandiko wako na maneno yamenichanganya kidogo....pole sana. Kama ndo hivi bora kweli wapewe wanawake tujue moja

Mimi ni mwanaume. Siyo dada. Fuatlia nyuzi zangu zote. I am a true man. Nimeoa na nina familia. Acha kunidhalilisha.
 
mkuu ufisadi hauna jinsia kamwe. kumbuka ule wizi wa ukwapuaji wa pesa za escrow aliyesimamia ukwapuaji ni mama aitwaye mkuya. na hata ule wa EPA ni mwanamama aitwaye zakia megji akiwa waziri wa fedha.
 
Kuna msukuma wa kike mwenye elimu? Kama yupo nafasi ni ya kwake,tusubiri.
Bora anavyotimua awa WACHAGA, WAHAYA na WANYAKYUSA maana wengi walikuwa wanafanya makampuni kama mali za Mikoa yao. Mfano mzuri sehemu kama TRA office na sehemu nyingine za Taasisi.
Wasukuma wengi sio watu wa kujilimbikizia mali na unga mkono bora uweke WASUKUMA watatusaidia sana katika maendeleo usiwasahau makabila ambayo ni wachapakazi kama Iringa, Musoma, Morogoro na mengineo ambayo hayana ukabila wala kujilimbikizia mali. Haya makabila makubwa yabaki katika shughuli za uzalishaji mali kama kilimo, ufugaji na mengineo
 
Ni ukweli kwamba wizara hii ya Nishati na Madini imetushunda sisi wanaume
Sasa apaewe mwanamke mwenye UZALENDO NA MCHAPAKAZI. Kuna wanawake makini sana ambao wamedhibitisha uwezo na uzalendo wao kwa kufanya kazi vizuri ktk wizara au ofisi zao. Mfano:
1.Angela Kairuki
2.Ummy Mwalimi
3.Mama Mabula
4.Mkuu wa mkoa wa Shinyanga(jina la mama huyu silifahamu).

Hawa ni baadhi tu. Moja wapo apewe wizara hii. Nasema wazi kabisa, akipewa mwanaume BWAWA la umeme la mto Rufiji(S.Goji) halitijegwa. Atajificha kwenye Hoja potofu ya mazingira ili kulinda masilahi ya wezi wanaotuuzia umeme kama IPTL. Hoja ya mazingira ni hoja feki.

Mwisho, nakuomba mhesh.Raisi kuhusu ujenzi wa bwawa hilo la umeme lenya uwezo wa kuzalisha MGW 2100, usimame miguu miwili, asikutikise mtu, mbele kwa mbele mpaka bwawa hilo lijengwe. Wananchi walalahoi tupo nyuma yako. Wazungu na NGO zao nii WAONGO wakubwa. Mbona nchi zao zinamwaga taka za nukla kwenye nchi za afrika lakini wao wapo kimya. Migodi inachafua maji na kuharibu mazingira mbona wapo kimya.

Mzungu yupo kwaajili ya kutetea na kulinda masilahi yao kwa mwavuli wa mazingira. Hoja ya mazingira ni STAREHE. Nchi hii yetu. Kanuni ya sovergnity inatulinda. BWAWA HILO LAZIMA LIJENGWE KWA MASILAHI MAPANA YA WATANZANIA.
Kwa hiyo umefanya utafiti na kugundua waliopita wameshindwa kwa sababu ya jinsia yao?

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom