Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,837
Tanesco mmetuchosha na matangazo yenu ya uongo kila siku mmetangaza mgao wa umeme umeisha lakini tatizo bado linaendelea kwa nini msingelikaa kimya tujue moja?na nyie wizara hamjifunzi na matamko ya kejeli kila wakati waziri anawambia watanzania kama awataki umeme upande bei watumie vibatari kwani mngetumia kauli ya kistaharabu nini kingeharibika?kauli zinawarudi kila siku mwongo alipoona kiti cha wizara akakurupuka umeme tanzania sasa imebaki historia sasa anaumbuka watanzania ni wavumilivu sana jifunzeni kuongea nao.MSIKURUPUKE