denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,512
- 68,141
Mnajidai hamumjui huyo mwizi toka akiwa shuleni, kama aliiba mitihani akiona pesa ataziacha na hiyo ndoto yake ya kuwa Rais?Wao porojo tu
Mnajidai hamumjui huyo mwizi toka akiwa shuleni, kama aliiba mitihani akiona pesa ataziacha na hiyo ndoto yake ya kuwa Rais?Wao porojo tu
Halafu tumpe hiyo wizara huyo Bibi yako mfuga paka!!Arudi bench tu
Mwendazake zake ndio alikuwa fisadi kuu,Kajamaa kamadili hako nani akaamini labda watu wa madili.
Unaonaje akipewa mumeo hiyo wizara!Apewe huyu..
JUST IN - The managing director of Tanzania's national oil company TPDC, Dr James Mataragio, has dismissed media eports of looming fuel shortages in Tanzania, saying there is no cause for panic
Mataragio insisted that Tanzania has sufficient fuel stocks https://t.co/mUrKzuvOCq
Mtoto wa nje ya ndoa mnatabu sanaUnaonaje akipewa mumeo hiyo wizara!
Huu ni ukweli kwa 100% january hajawahi kuaminika na hawezi kuaminika. Chunguzeni mienendo yake alipokuwa Mazingira namna alivyokuwa akihujumu juhudi mbalimbali za serikali ktk kutokomeza mifuko ya plasticsanuary si Waziri asiyeaminiwa na wengi hata michango ya watu iwe mitaani ama humu mitandaoni ukweli huo unajidhihirisha.
Asha lini utaacha vituko?Unaonaje akipewa mumeo hiyo wizara!
January si Waziri asiyeaminiwa na wengi hata michango ya watu iwe mitaani ama humu mitandaoni ukweli huo unajidhihirisha.
Sasa ili kuwe na kuaminika tena kwa matatizo yahusuyo Nishati nikuombe Rais Samia teua Waziri mwenye japo chembe ya kuaminika na wengi wetu awe Waziri wa Wizara hiyo.
Bado wapo watu katika baraza lako wenye ushawishi kwa wananchi mfano mzee Lukuvi ni mmoja ya Waziri mwenye kauli inayopokelewa na wengi na ni mtu anayeaminika na watu japokuwa naye ni mwanadamu na mapungufu yake.
Kumpa January nishati ni kumchonganisha na watu tu hali itakayomfanya awe na stress zaidi.
Nashauri,January atafutiwe Wizara nyepesi kwa sababu hata yeye ni mwepesi.
Dawa ni moja tu,kukata mapembe.Sidhani kama kuna mtu anayeaminika ndani ya CCM. Ndani ya CCM wamejaa watu wanafiki, waongo, wadanganyifu, wevi na uchafu wa kila namna.
Leo hii, ndani ya CCM, kuanzia Rais, mawaziri, wabunge, madiwani mpaka wenyeviti wa Serikali za mitaa, yupo hata mmoja anayeweza kusema alichaguliwa na wananchi kwa mchakato safi, wa wazi na wa haki kabisa?
January na Nape, ndio waliwekwa kuwa viongozi kwaajili ya kuiba kura kumpa Magufuli 2015, Kalemani hakuchaguliwa na wananchi bali na marehemu, sawa na walivyo wote wanaoitwa wabunge wa bunge hili la sasa.
Sasa, unataka kuniambia huwa kuna mwizi anayeaminika?
Tunaongozwa na chama na viongozi wanaoamini katika wizi, unafiki na uwongo. Je, utakwepa vipi uchafu wa kila aina nchini? Vyovyote utakavyofanya, utakuwa unatafuta unafuu katika uchafu, lakini huwezi kupata kilicho safi.
Haka kajamaa Nani akaogope? Kwa kipi hasa hata kaogopwe?Sukuma gang m namuogopa sana January mwacheni afanye kazi
Hiyo combination ya picha kwenye avatar yako...inaonyesha unaweza kutufuaa. Ha ha haaaa!tofauti na hao mnipe tu nchi
Sure mkuu huwa naWaza niingie msituni niwakomboe watanzania kutoka kwenye mikono ya wanyonyaji weusi. Bora hata ya mkoloni mweupe Mana huduma muhimu zilikuwepo.Hiyo combination ya picha kwenye avatar yako...inaonyesha unaweza kutufuaa. Ha ha haaaa!
Kigogo amewekwa hapo kimkakati. Hata mpigie kelele vipi KIGOGO hatolewi.January si Waziri asiyeaminiwa na wengi hata michango ya watu iwe mitaani ama humu mitandaoni ukweli huo unajidhihirisha.
Sasa ili kuwe na kuaminika tena kwa matatizo yahusuyo Nishati nikuombe Rais Samia teua Waziri mwenye japo chembe ya kuaminika na wengi wetu awe Waziri wa Wizara hiyo.
Bado wapo watu katika baraza lako wenye ushawishi kwa wananchi mfano mzee Lukuvi ni mmoja ya Waziri mwenye kauli inayopokelewa na wengi na ni mtu anayeaminika na watu japokuwa naye ni mwanadamu na mapungufu yake.
Kumpa January nishati ni kumchonganisha na watu tu hali itakayomfanya awe na stress zaidi.
Nashauri,January atafutiwe Wizara nyepesi kwa sababu hata yeye ni mwepesi.