avogadro
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 7,305
- 12,702
Imeibuka tabia ya watu kujifanya wao wanaujua zidi mpira ama kwa kutoa kauli tata za kukatisha tamaa timu yetu ya Taifa, wachezaji na makocha pale kwa bahati mbaya inapokosa matokeo mazuri
Kuna watu ambao huonekana kwenye michezo ya Simba na Yanga wakiongea hovyo huku ama wamejipaka mdude gani sijui mara wamevaa mavitu ya ajabu
Watu hawa wanaibuka kwenye timu ya taifa na kuanza kutoa maneno ya kashfa kejeli na yenye kukatisha tamaa kwa benchi la ufundi na wachezaji.
Mathalani mechi ya kwanza na Benin waliwatukana sana wachezaji na benchi la ufundi kana kwamba walitaka matokeo yawe vile
Tulikuwa tunacheza na timu hevyweight yenye ma-pro waliokamilika kila idara hivyo hata kwa pale tulijitahidi sana. Ukitaka kujua uzito wa hizi timu za magharibi waulize Kenya walichokutana nacho kwa mali
Niishauri wizara, media zote za online tv ziwapuuze watu hao na walazsiwape nafsi ya kuongea maneno ytakayoharibu morari ya wachezaji. Wachezaji wetu wanacheza kufa na kupona tuache maneno ya kejeli
Kuna watu ambao huonekana kwenye michezo ya Simba na Yanga wakiongea hovyo huku ama wamejipaka mdude gani sijui mara wamevaa mavitu ya ajabu
Watu hawa wanaibuka kwenye timu ya taifa na kuanza kutoa maneno ya kashfa kejeli na yenye kukatisha tamaa kwa benchi la ufundi na wachezaji.
Mathalani mechi ya kwanza na Benin waliwatukana sana wachezaji na benchi la ufundi kana kwamba walitaka matokeo yawe vile
Tulikuwa tunacheza na timu hevyweight yenye ma-pro waliokamilika kila idara hivyo hata kwa pale tulijitahidi sana. Ukitaka kujua uzito wa hizi timu za magharibi waulize Kenya walichokutana nacho kwa mali
Niishauri wizara, media zote za online tv ziwapuuze watu hao na walazsiwape nafsi ya kuongea maneno ytakayoharibu morari ya wachezaji. Wachezaji wetu wanacheza kufa na kupona tuache maneno ya kejeli