Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Dunia nzima iko DAEGU , KOREA sisi tuna kila jumuia lakini hatishindi kitu sasa kama hakuna pesa za kuwaandaa wawakilishi wetu huko bas bora wizara ifungwe na kama ikiwa wazi bas tusishindane for 10 years kisha ndio tujaribu tena
Haiwezekani hawa watu wanatengewa pesa kila kukicha halafu matunda hatuyaoni
I mean Botswana juzi wamepata dhahabu, kenya wanashiriki kwenye 4X4 sasa sisi we are no where to be seen
na kama sikosei chama cha Olympiki Tanzania wanajiandaa na dili la kwenda london kwenye Olympics za 2012 na we all know hawatorudi na chochote sasa ili kuepusha hizi aibu zisizokwisha kwa nini tusifocus na ndani badala ya kutaka mambo ambayo hatuyawezi?
Haiwezekani hawa watu wanatengewa pesa kila kukicha halafu matunda hatuyaoni
I mean Botswana juzi wamepata dhahabu, kenya wanashiriki kwenye 4X4 sasa sisi we are no where to be seen
na kama sikosei chama cha Olympiki Tanzania wanajiandaa na dili la kwenda london kwenye Olympics za 2012 na we all know hawatorudi na chochote sasa ili kuepusha hizi aibu zisizokwisha kwa nini tusifocus na ndani badala ya kutaka mambo ambayo hatuyawezi?