Wizara ya Mambo ya Ndani yawasimaisha kazi wafanyakazi 3 kwa kulipa zaidi ya Mil 305 kwa Askari hewa

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,622
8,397
Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Ndani kuwasimaisha kazi wafanymakazi watatu, kwa kufanya malipo kinyume na taratibu.
CnZmwXSWEAA15J1.jpg
CnZmwXJWIAAI_N4.jpg
 
Safi sana, sasa hata wakiajiliwa vijana watakuwa na nidhamu ya kazi, hapa kazi tu, pamoja na kwamba nipo ukawa kwa mambo ya ufisadi namuunga mkono Magufuli 100%
 
kuwasimamisha tu haitoshi inabidi wapewe adhabu kali za kinidhamu mbona watanyoooka tu
 
The Series of Movies is Loading...........................................................
 
Asante kwa taarifa mkuu.
Lakini mbona sijaona muhuri wala mkwaju wa katibu mkuu
 
Safi sana, sasa hata wakiajiliwa vijana watakuwa na nidhamu ya kazi, hapa kazi tu, pamoja na kwamba nipo ukawa kwa mambo ya ufisadi namuunga mkono Magufuli 100%
Hutapata "like" toka kwa "makamanda", lakini umesema ukweli. Huyu mtu anasafisha uozo na uvundo.
 
Back
Top Bottom