MKWEPA KODI JF-Expert Member Nov 28, 2015 28,707 71,003 Jul 19, 2017 #2 Donatila said: View attachment 545957 Click to expand... Afadhali mmekanusha maana tulijua sasa nchi imepita viwango vyote vya udikteta na imekuwa kama north korea
Donatila said: View attachment 545957 Click to expand... Afadhali mmekanusha maana tulijua sasa nchi imepita viwango vyote vya udikteta na imekuwa kama north korea
balimar JF-Expert Member Sep 18, 2015 7,561 13,274 Jul 19, 2017 #3 Hata hii usikute ikakanushwa just wait and see
kivyako JF-Expert Member Feb 2, 2012 14,341 12,045 Jul 19, 2017 #4 Labda wanatabiri kitakachotokea siku za usoni
Kurzweil JF-Expert Member May 25, 2011 6,622 8,397 Jul 20, 2017 #6 Taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu Kanuni/Sheria za Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, hazina ukweli wowote hivyo zipuuzwe.
Taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu Kanuni/Sheria za Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, hazina ukweli wowote hivyo zipuuzwe.
Joseverest JF-Expert Member Sep 25, 2013 51,988 69,380 Jul 21, 2017 #9 Mimi hiyo habari tangu naiona mwezi wa sita kama sikosei nilijua uzushi tu