Wizara ya Mambo ya Ndani, tuambieni Watanzania kuhusu Jeshi la Polisi

S.M.P2503

JF-Expert Member
Nov 25, 2008
1,643
2,607
Kwa ufupi sana:

Kama nyie ndio wasimamizi wa jeshi letu la polisi:

Je:

1. Inaruhusiwa kwa muhusika wa uhalifu kuteswa ili akiri makosa?
Mumuvue nguo, Mumning'inize kama popo, mchukue hela zake, mumuchome bibisi, je hii inaruhusiwa na kwa sheria gani, hebu tuambieni?

2. Makomandoo wameenda kupigana huo Congo kwa niaba yetu Tanzania, wanarudi , wanapata PTSD, kwa nini munawaachia tu wajihangaikie, ni haki, nia njema au ni uonevu? Kazi yenu ni nini hasa kwa watu waliotumia taifa hadi kuweka maisha yao rehani kwa niaba yetu huko vitani AU Mnasubiri wawe Hamza ndio muake kutoka usingizini?

3. Munahakikishaje kwamba nyie kama wasimamizi wa jeshi la polisi , hao munao wasimamia wanafuata hiyo PGO ipasavyo?

4. Muna mipango gani ya kuhakikisha kunakuwa na Independent police complaint commission ili Police isijichunguze yenyewe pale inapotuhumiwa ?

5. Mbona mumelala fofofo sana, mpaka sasa hamjatoa tamko kwamba torture hairuhusiwi nchi Tanzania na kwa nini mnasubiri hayo ya mahakamani yaendelee kutuchafua tu bila weredi wenu?

6. Maslahi ya Mama Tanzania ni makubwa kuliko watu wachache huko polisi wanaoichafua nchi au maslahi ya nchi kwa ujumla wake si chochote , si lolote na ni sawa tu tuchafuliwe kwa vitendo vya polisi munao wasimamia...?

7. Ni kwa nini hamjiulizi hawa ndugu zetu mabalozi kila kukicha wapo mahakamani tu, wanapeleka taarifa gani huo kwao ?

Tafadharini chukueni taifa na lisafisheni jeshi kwa maslahi mapana. Tanzania ni yetu sote bila kujali tupo wapi.. Amkeni, Simbachaweni na wizara yako mmelala fofofo sana.., au labda mpka utumbuliwe ndio utajua umuhumu wa kazi safi ionayotakiwa kufanywa na jeshi la polisi?
 
Kwa ufupi sana:

Kama nyie ndio wasimamizi wa jeshi letu la polisi:

Je:

1. Inaruhusiwa kwa muhusika wa uhalifu kuteswa ili akili makosa?
Mumuvue nguo, mumuning'inze kama popo, mchukue hela zake, mumuchome bibisi, je hii inaruhusiwa na kwa sheria gani, hebu tuambieni?

2. Makomandoo wameenda kupigana huo Congo kwa niaba yetu Tanzania, wanarudi , wanapata PTSD, kwa nini munawaachia tu wajihangaikie, ni haki, nia njema au ni uonevu? Kazi yenu ni nini hasa kwa watu waliotumia taifa hadi kuweka maisha yao rehani kwa niaba yetu huko vitani AU Mnasubiri wawe Hamza ndio muake kutoka usingizini?

3. Munahakikishaje kwamba nyie kama wasimamizi wa jeshi la polisi , hao munao wasimamia wanafuata hiyo PGO ipasavyo?

4. Muna mipango gani ya kuhakikisha kunakuwa na Independent police complaint commission ili Police isijichunguze yenyewe pale inapotuhumiwa ?

5. Mbona mumelala fofofo sana, mpaka sasa hamjatoa tamko kwamba torture hairuhusiwi nchi Tanzania na kwa nini mnasubiri hayo ya mahakamani yaendelee kutuchafua tu bila weredi wenu?

6. Maslahi ya Mama Tanzania ni makubwa kuliko watu wachache huko polisi wanaoichafua nchi au maslahi ya nchi kwa ujumla wake si chochote , si lolote na ni sawa tu tuchafuliwe kwa vitendo vya polisi munao wasimamia...?

7. Ni kwa nini hamjiulizi hawa ndugu zetu mabalozi kila kukicha wapo mahakamani tu, wanapeleka taarifa gani huo kwao ?

Tafadharini chukueni taifa na lisafisheni jeshi kwa maslahi mapana. Tanzania ni yetu sote bila kujali tupo wapi.. Amkeni, Simbachaweni na wizara yako mmelala fofofo sana.., au labda mpka utumbuliwe ndio utajua umuhumu wa kazi safi ionayotakiwa kufanywa na jeshi la polisi?
Akili= Akiri

Mumuninginize=Mumning'inize
 
Ndugu yetu, unapoteza muda wako kuwauliza haya maswali wahusika....ni sawa na kumuuliza Mtoto wa chekechea formula ya 'Photosynthesis'.
sasa nisipo wauliza, nani awaulize? kazi yao nini haswa? kwa nini jeshi la polisi liko chini yao? mambo yavyoibuliwa huko kwa pilato ingefaa kabisa SimbaChawene atoe notice ya kuacha kazi...
 
2. Makomandoo wameenda kupigana huo Congo kwa niaba yetu Tanzania, wanarudi , wanapata PTSD, kwa nini munawaachia tu wajihangaikie, ni haki, nia njema au ni uonevu? Kazi yenu ni nini hasa kwa watu waliotumia taifa hadi kuweka maisha yao rehani kwa niaba yetu huko vitani AU Mnasubiri wawe Hamza ndio muake kutoka usingizini?

Na wala hayuko "Adamoo" mmoja, wapo wengi tu brother zetu tunawafahamu mitaani baadhi yao wamegeukia uraibu wa kila namna, kuna jambo linapaswa lifanyike na taasisi zao lakini kwa bahati mbaya sana hakuna anayejali!
 
Kwa ufupi sana:

Kama nyie ndio wasimamizi wa jeshi letu la polisi:

Je:

1. Inaruhusiwa kwa muhusika wa uhalifu kuteswa ili akiri makosa?
Mumuvue nguo, Mumning'inize kama popo, mchukue hela zake, mumuchome bibisi, je hii inaruhusiwa na kwa sheria gani, hebu tuambieni?

2. Makomandoo wameenda kupigana huo Congo kwa niaba yetu Tanzania, wanarudi , wanapata PTSD, kwa nini munawaachia tu wajihangaikie, ni haki, nia njema au ni uonevu? Kazi yenu ni nini hasa kwa watu waliotumia taifa hadi kuweka maisha yao rehani kwa niaba yetu huko vitani AU Mnasubiri wawe Hamza ndio muake kutoka usingizini?

3. Munahakikishaje kwamba nyie kama wasimamizi wa jeshi la polisi , hao munao wasimamia wanafuata hiyo PGO ipasavyo?

4. Muna mipango gani ya kuhakikisha kunakuwa na Independent police complaint commission ili Police isijichunguze yenyewe pale inapotuhumiwa ?

5. Mbona mumelala fofofo sana, mpaka sasa hamjatoa tamko kwamba torture hairuhusiwi nchi Tanzania na kwa nini mnasubiri hayo ya mahakamani yaendelee kutuchafua tu bila weredi wenu?

6. Maslahi ya Mama Tanzania ni makubwa kuliko watu wachache huko polisi wanaoichafua nchi au maslahi ya nchi kwa ujumla wake si chochote , si lolote na ni sawa tu tuchafuliwe kwa vitendo vya polisi munao wasimamia...?

7. Ni kwa nini hamjiulizi hawa ndugu zetu mabalozi kila kukicha wapo mahakamani tu, wanapeleka taarifa gani huo kwao ?

Tafadharini chukueni taifa na lisafisheni jeshi kwa maslahi mapana. Tanzania ni yetu sote bila kujali tupo wapi.. Amkeni, Simbachaweni na wizara yako mmelala fofofo sana.., au labda mpka utumbuliwe ndio utajua umuhumu wa kazi safi ionayotakiwa kufanywa na jeshi la polisi?
As long as wanafanya kazi za ccm no body cares.
 
Tumesema hii kesi itawavua nguo serikali. Haya tungeyajua lini! Juhudi inazotumia CCM kuua upinzani ndizo hizo zitaiua. Acha Adamoo wawe wengi mitaani na utaona mwisho wake
 
Ingekuwavl nchi zenye kuzingatia utu wazir wa mambo ya ndani,Igp na walioshiriki wangefutwa kazi au kujiuzulu kwa manufaa ya umma.
 
Mkuu haya yote yenye maumivu na machungu Kwa binadamu, kuna mtu au kakikundi kinachofurahishwa na matendo haya maovu. Kisa tu wanaotendewa ni wale wanaowaona ni wapinzani wao.
 
Back
Top Bottom