Wizara ya mambo ya ndani ndiyo inayoongoza kwa mawaziri wake kufukuzwa.
Katika kuuaga mwaka na kuukaribisha mwaka mpya tujikumbushe mawaziri wa mambo ya ndani waliomaliza salama, waliojihudhuru na waliofukuzwa, Sasa tuanze:-
1. Said Maswanya............alifukuzwa na Nyeyere
2. Ali Hassani Mwinyi ............alijihuzulu katika kashifa ya Teddy Kasela Bantu ya kuuwa wachawi
3. Alhaji Omary Muhaji............alifukuzwa katika ile kashifa ya gari aina ya VOLVO miezi sita tu Volvo zote 60 juu yamawe inasemekana alichukua mlungula
4. Salmin Amour....................alihamishwa kwa usalama
5. Abdala Natepe ............... alifukuzwa ile kashifa ya wahaini kukimbia magereza ukonga akina Banyikwa
6. Brigadia Mhidin Kimariyo..................alifukuzwa katika kashifa ya gorafa la wizara kuunguwa moto
7. Agustino Lyatonga Mrema..................alifukuzwa baada ya kulewa madaraka, alilewa akawa chakari
8. Mgunya mmoja kwa jina AMIR.......... ALIKIMBLIA Zanzibar kugombea urais akakosa
9. Omary Mapuri ...............alifukuzwa kashifa ya kupiga waandishi wa habari katika barracks za magereza
10. Laurence Masha ....................... alifukuzwa na wanainchi wa Mwanza
11. Emmanuel Mnchimbi ..................... huyu alifukuzwa na vumbi likatimka
Hebu nisaidieni niliowasahau.
Katika kuuaga mwaka na kuukaribisha mwaka mpya tujikumbushe mawaziri wa mambo ya ndani waliomaliza salama, waliojihudhuru na waliofukuzwa, Sasa tuanze:-
1. Said Maswanya............alifukuzwa na Nyeyere
2. Ali Hassani Mwinyi ............alijihuzulu katika kashifa ya Teddy Kasela Bantu ya kuuwa wachawi
3. Alhaji Omary Muhaji............alifukuzwa katika ile kashifa ya gari aina ya VOLVO miezi sita tu Volvo zote 60 juu yamawe inasemekana alichukua mlungula
4. Salmin Amour....................alihamishwa kwa usalama
5. Abdala Natepe ............... alifukuzwa ile kashifa ya wahaini kukimbia magereza ukonga akina Banyikwa
6. Brigadia Mhidin Kimariyo..................alifukuzwa katika kashifa ya gorafa la wizara kuunguwa moto
7. Agustino Lyatonga Mrema..................alifukuzwa baada ya kulewa madaraka, alilewa akawa chakari
8. Mgunya mmoja kwa jina AMIR.......... ALIKIMBLIA Zanzibar kugombea urais akakosa
9. Omary Mapuri ...............alifukuzwa kashifa ya kupiga waandishi wa habari katika barracks za magereza
10. Laurence Masha ....................... alifukuzwa na wanainchi wa Mwanza
11. Emmanuel Mnchimbi ..................... huyu alifukuzwa na vumbi likatimka
Hebu nisaidieni niliowasahau.