BlackHermito
JF-Expert Member
- Oct 15, 2020
- 748
- 1,129
Hivi posho wanalipa huko depo kwa upande wa polisi ?maana jkt walikuw wanatoa kiasiKaka nimekwambia kabisa mshahara unatofautiana kaka kama wewe ni doctor yaani MD unalipwa 1.5 milioni ,kwa aliesoma IT au Engineering 990000 na kwa degree za art ni 860000