Baba V JF-Expert Member Dec 29, 2010 19,482 9,517 Nov 28, 2012 #2 Hao tembo wa thailand ni wa kufugwa,tembo wetu watakukanyagakanyaga balaa
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,140 13,215 Nov 28, 2012 #4 msasani pale wapo wengi wa jinsi hii
masopakyindi Platinum Member Jul 5, 2011 17,857 13,140 Nov 28, 2012 #5 Wizara ya Mali Asili na Utalii mpeni tenda huyu kuturekebishia kwenye mbuga zetu (whatever that means!)
Wizara ya Mali Asili na Utalii mpeni tenda huyu kuturekebishia kwenye mbuga zetu (whatever that means!)